Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama wa CHF Iramba wakosa dawa

SAM_2087

Pichani ni majengo ya kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba yanayokabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa kwa wanachama wake wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF)katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi disemba,mwaka jana (Picha na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly, Iramba                                

LICHA ya Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida kutajwa kuongoza nchini kwa kuwa na wanachama wengi  wa Mfuko wa Afya  ya Jamii Nchini (CHF) baada ya zaidi ya asilimia 60 ya kaya zake...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

CHF yakusanya mamilioni Iramba

DSC00021

Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Yahaya Nawanda akihamasisha wananchi wakazi wa kijiji cha Kizonzo na Mgongo,kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF), ili waweze kujihakikishia matibabu stahiki kipindi chote cha mwaka.Kwa mujibu wa Nawanda, Kuku moja wa kienyeji mwenye thamani ya shilingi 10,000 tu, anatosha kugharamia ada ya uanachama na mume, mke moja na watoto wanane kupata matibabu mwaka mzima bila kuongeza fedha nyingine.

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO wa afya ya jamii...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwitikio wa kujiunga CHF Iramba waonyesha matunda

NI ukweli usiopingika kwamba idadi kubwa ya wakazi wa Mkoa wa Singida wamekuwa wakishindwa kupata huduma bora za afya kutokana na sababu kubwa moja ambayo ni uwezo duni wa kiuchumi....

 

10 years ago

Habarileo

Madeni, mwamko mdogo kwa CHF kunakosesha dawa

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Muhapa amesema tatizo la kukosekana kwa dawa katika zahanati na vituo vya afya inachangiwa na ukubwa wa deni na mwamko mdogo wa wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) .

 

11 years ago

Mwananchi

NHIF, MSD sasa wajadili mikopo ya dawa kwa CHF

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeanza mazungumzo na Bohari Kuu ya Dawa (MSD),ili bodi hiyo iwakopeshe dawa watoa huduma za afya katika Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama NHIF watakiwa kutumia maduka ya dawa

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wanachama wake kupata huduma za dawa katika maduka yaliyosajiliwa na mfuko huo pindi wanapozikosa kwenye hospitali au vituo vya afya. NHIF...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.

Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF)wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfukohuo.Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli"Wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF).Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli".(Picha na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walimu wakosa vyoo

WALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Mandewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida hawana vyoo kwa miaka nane sasa, halia ainayowalazimu kutumia vyoo vya wanafunzi. Kufuatia hali hiyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF wakosa mishahara

Imefichuka! Maofisa wa ngazi za juu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) hawajalipwa mishahara yao ukiwamo wa Mei, mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wakosa faragha

SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya askari Polisi na hata wa Magereza, hawana makazi yanayoridhisha hatua inayosababisha wazazi kukosa faragha wanayoihitaji katika jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani