Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHF yakusanya mamilioni Iramba

DSC00021

Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Yahaya Nawanda akihamasisha wananchi wakazi wa kijiji cha Kizonzo na Mgongo,kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF), ili waweze kujihakikishia matibabu stahiki kipindi chote cha mwaka.Kwa mujibu wa Nawanda, Kuku moja wa kienyeji mwenye thamani ya shilingi 10,000 tu, anatosha kugharamia ada ya uanachama na mume, mke moja na watoto wanane kupata matibabu mwaka mzima bila kuongeza fedha nyingine.

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO wa afya ya jamii...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanachama wa CHF Iramba wakosa dawa

SAM_2087

Pichani ni majengo ya kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba yanayokabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa kwa wanachama wake wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF)katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi disemba,mwaka jana (Picha na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly, Iramba                                

LICHA ya Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida kutajwa kuongoza nchini kwa kuwa na wanachama wengi  wa Mfuko wa Afya  ya Jamii Nchini (CHF) baada ya zaidi ya asilimia 60 ya kaya zake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwitikio wa kujiunga CHF Iramba waonyesha matunda

NI ukweli usiopingika kwamba idadi kubwa ya wakazi wa Mkoa wa Singida wamekuwa wakishindwa kupata huduma bora za afya kutokana na sababu kubwa moja ambayo ni uwezo duni wa kiuchumi....

 

10 years ago

Habarileo

Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-

HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Harambee ya Bugadea yakusanya mil. 8/-

SHILINGI milioni 8.8 zimekusanywa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Afya cha Buganguzi, wilayani Muleba iliyoratibiwa na Umoja wa Maendeleo ya Buganguzi (Bugadea). Akizungumza katika harambee hiyo iliyofanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yakusanya bil. 516/-

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umepata mafanikio kwa mwaka wa fedha 2013 kwa kukusanya sh bilioni 516.5. Akizungumzia utendaji wa mfuko huo katika mkutano mkuu wa tatu...

 

11 years ago

Habarileo

Bodi ya Mikopo yakusanya bilioni 49.7/-

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekusanya zaidi ya Sh bilioni 49.7 ya mikopo kutoka kwa wanufaika wa mikopo hiyo hadi kufikia Aprili 30, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Harambee yakusanya sh20 milioni

Jumla ya Sh20 milioni zimepatikana katika harambee ya kuchangia mfuko wa Umoja wa Wanasegerea Mjimwema (Uwasemji) ambao ulizinduliwa rasmi wiki iliyopita ukiwa na lengo la kuwajengea uwezo kiuchumi wakazi wa eneo hilo na kutatua changamoto tofauti zinazowakabili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Iramba yatengewa bil. 1.6/- za maji

WIZARA ya Maji imetenga sh bilioni 1.6 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji safi na salama katika Wilaya ya Iramba, mkoani Singida katika kipindi cha kuanzia mwaka wa fedha...

 

10 years ago

Habarileo

Iramba wamkataa mkurugenzi wao

WAJUMBE wa Kamati ya Utawala, Mipango na Fedha katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wameamua kutohudhuria kikao chochote hadi Serikali itakapomwondoa Mkurugenzi Mtendaji wake (DED), Halima Mpita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani