CHF yakusanya mamilioni Iramba
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa afya ya jamii...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wanachama wa CHF Iramba wakosa dawa
Pichani ni majengo ya kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba yanayokabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa kwa wanachama wake wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF)katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi disemba,mwaka jana (Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
LICHA ya Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida kutajwa kuongoza nchini kwa kuwa na wanachama wengi wa Mfuko wa Afya ya Jamii Nchini (CHF) baada ya zaidi ya asilimia 60 ya kaya zake...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Mwitikio wa kujiunga CHF Iramba waonyesha matunda
NI ukweli usiopingika kwamba idadi kubwa ya wakazi wa Mkoa wa Singida wamekuwa wakishindwa kupata huduma bora za afya kutokana na sababu kubwa moja ambayo ni uwezo duni wa kiuchumi....
10 years ago
Habarileo11 Oct
Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-
HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Harambee ya Bugadea yakusanya mil. 8/-
SHILINGI milioni 8.8 zimekusanywa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Afya cha Buganguzi, wilayani Muleba iliyoratibiwa na Umoja wa Maendeleo ya Buganguzi (Bugadea). Akizungumza katika harambee hiyo iliyofanyika...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
PSPF yakusanya bil. 516/-
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umepata mafanikio kwa mwaka wa fedha 2013 kwa kukusanya sh bilioni 516.5. Akizungumzia utendaji wa mfuko huo katika mkutano mkuu wa tatu...
11 years ago
Habarileo15 Jun
Bodi ya Mikopo yakusanya bilioni 49.7/-
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekusanya zaidi ya Sh bilioni 49.7 ya mikopo kutoka kwa wanufaika wa mikopo hiyo hadi kufikia Aprili 30, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Harambee yakusanya sh20 milioni
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Iramba yatengewa bil. 1.6/- za maji
WIZARA ya Maji imetenga sh bilioni 1.6 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji safi na salama katika Wilaya ya Iramba, mkoani Singida katika kipindi cha kuanzia mwaka wa fedha...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Iramba wamkataa mkurugenzi wao
WAJUMBE wa Kamati ya Utawala, Mipango na Fedha katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wameamua kutohudhuria kikao chochote hadi Serikali itakapomwondoa Mkurugenzi Mtendaji wake (DED), Halima Mpita.