Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wakosa faragha

SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya askari Polisi na hata wa Magereza, hawana makazi yanayoridhisha hatua inayosababisha wazazi kukosa faragha wanayoihitaji katika jamii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TFF wakosa mishahara

Imefichuka! Maofisa wa ngazi za juu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) hawajalipwa mishahara yao ukiwamo wa Mei, mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanachuo wakosa mikopo TZ

Wanachuo zaidi ya elfu ishirini nchini Tanzania wamekosa mikopo ya elimu kutoka bodi ya mikopo nchini humo kutokana na ufinyu wa bajeti serikali

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walimu wakosa vyoo

WALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Mandewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida hawana vyoo kwa miaka nane sasa, halia ainayowalazimu kutumia vyoo vya wanafunzi. Kufuatia hali hiyo,...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-2

WENGI huamini kukutana faragha huzidisha mapenzi katika uhusiano. Inawezekana ni kweli lakini tendo hili huwa na ubora na maana zaidi ikiwa litafanywa na wanandoa. Kutokana na mabadiliko ya dunia, faragha imekuwa ni jambo la kawaida kabisa hata kwa wale ambao ni marafiki tu. Wanaofanya hivyo, huwa na imani kuwa wanawapagawisha wapenzi wao na kuwafanya wasifikirie kuwaacha. Tendo la ngono limekuwa jambo la kawaida. Ni jambo...

 

11 years ago

BBCSwahili

LG matatani kuhusu faragha

Watumiaji wadai kuwa televisheni ya kisasa ya LG inafichua data ya faragha

 

9 years ago

GPL

MAMBO YANAYOFURAHISHA FARAGHA-2

KWANZA nianze kwa kuwashukuru wafuasi na wasio wafuasi wa vyama vya siasa nchini kwa kumaliza uchaguzi mkuu kwa amani. Kwa uchaguzi huu nimejifunza kitu kuwa kumbe Watanzania tunu yetu kubwa tuliyojaliwa na Mungu ni amani, amani ndiyo imenifanya leo uweze kusoma mada hii ya mambo yanayofaa faragha Wiki iliyopita tulizungumzia kipengele kimoja cha sauti za kubembeleza leo nitaendelea na mambo mengine mazuri mnapokuwa faragha;...

 

9 years ago

GPL

MAMBO YANAYOFURAHISHA FARAGHA

ASANTE Mwenyezi Mungu kwa Jumatatu hii murua. Baada ya vuta nikuvute ya uchaguzi mkuu, hatimaye jana Watanzania tumetumia haki yetu ya kimsingi na kikatiba kumchagua kiongozi tumtakaye atakayeiongoza Tanzania kwa awamu ya tano. Tukiachana na siasa, tunakutana tena katika kilinge chetu hiki kama ilivyo ada, bado tunaendelea kujifunza namna mbalimbali ya kufanya tunapokuwa faragha na wenza wetu. Kwa kifupi mada hii ya faragha...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KUHARAKISHA FARAGHA-4

KUJIFUNZA hakuna ukomo. Ni vyema kujiwekea utaratibu wa kujifunza kila siku. Maana yake katika kujifunza huongeza maarifa. Ulichokuwa ukikifahamu jana, huenda leo ukajifunza kitu kingine tofauti. Hapa kwenye Love & Life tunajifunza mambo muhimu kuhusu maisha yetu. Vijana wa sasa wanaamini faragha huongeza na kuimarisha penzi. Jambo hili halina ukweli, kuna mambo mengi muhimu zaidi ya faragha ambayo yakifanywa huzidisha furaha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hanang’ wakosa maji safi

WANANCHI zaidi ya 3,000 wa Kijiji cha Hedet, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, kwa zaidi ya miaka miwili sasa hawana huduma ya maji safi na salama kutokana na baadhi yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani