NHIF TANGA WATUA KILINDI KUHAMASISHA WANANCHI JUU YA VIFURUSHI VIPYA
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu
akizungumza na waumini wa kanisa la Adventist (Wasabato) wakati akihamasisha juu ya vifurusi vipya vya mfuko huo katika halmashauri ya wilaya ya Kilindi mkoani Tanga
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akitoa elimu kwa mfanyabiashara wa viatu wilayani Kilindi kuhusu umuhimu wa kujiunga na bima ya afya wakati wa uhamasishaji wananchi juu ya vifurushi vipya katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNHIF KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO KATIKA HALMASHAURI 54 NCHINI
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
NHIF yaendelea na kampeni ya kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF katika kijiji cha Chumo Kilwa
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akikabidhi mashuka kumi kwa Khatib Said mwenyekiti wa kijiji cha Chumo Wilayani Kilwa mkoani Lindi yaliyotolewa na mfuko huo kwa ajili ya zahanati ya kijiji hicho wakati wa mwendelezo wa kampeni ya uhamasishaji wananchi kujiunga na huduma ya Afya ya Jamii CHF inayotolewa na NHIF, Ambapo wananchi mbalimbali walipima afya kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kujiunga na huduma hiyo kwenye uwanja wa shule...
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
9 years ago
MichuziRC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
10 years ago
VijimamboZIARA YA KINANA KATIKA WILAYA YA KILINDI MKOANI TANGA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwaslimia wakazi wa Kwediboma wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kwediboma wakati wa kushiriki kujenga msingi wa kituo cha afya cha Kwediboma.
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kutandaza mawe kwenye msingi wa kituo cha afya Kwediboma.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...
9 years ago
VijimamboLOWASSA KATIKA KAMPENI HANDENI NA KILINDI MKOANI TANGA
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kilindi kurejesha ardhi kwa wananchi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilindi, Mkoa wa Tanga, imekusudia kuirejesha katika serikali za vijiji ardhi iliyochukuliwa kinyume na sheria, ili iweze kugawiwa kwa wananchi wasio na maeneo. Pia halmashauri hiyo...
11 years ago
MichuziUONGOZI PSPF WATUA MWANZA KUANGALIA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUHAMASISHA UMMA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
10 years ago
Mwananchi29 Mar
KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : Majimbo ya Kilindi, Mkinga na Muheza mkoani Tanga hayana dalili nzuri kwa upinzani