NHIF waianza 2016 kwa kuboresha huduma zao
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari jana Jijini Dar es salaam (hawapo pichani).
Mkurugenzi wa Masoko, Elimu kwa Umma na Utafiti Rehani Athumani akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maboresho katika Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Waandishi wa Habari wakifatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Uongozi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana Jijini Dar es salaam.(Picha na Jacquiline...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF kuanza mwaka mpya wa 2016 kwa kuboresha huduma zao
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unategemea kuboresha baadhi ya huduma zao ifikapo 2016 ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma hizo kwa wananchi.
Akiyasema hayo leo Jijini Dar es salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu Michael Mhando amezitaja baadhi ya huduma ambazo wana mpango wa kuziboresha kwa mwaka 2016 zikiwemo za kuongeza huduma ya matibabu ya moyo kwa kutumia bima ya NHIF,kutoa mikopo ya dawa,kurekebisha mfumo wa ulipaji wa baadhi ya huduma pia kubadili...
10 years ago
MichuziWATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
10 years ago
MichuziBANDA LA NHIF LAWA KIVUTIO KWA HUDUMA NZURI
11 years ago
Habarileo02 May
NHIF yaonywa mikopo ya dawa kwa watoa huduma
SERIKALI imeuonya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuwa makini na mpango inaotaka kuuanza katika mwaka ujao wa fedha wa kutoa mikopo ya dawa kwa watoa huduma wote waliosajiliwa.
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jun
Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini
KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s72-c/DSC_0023.jpg)
BANK M KUBORESHA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s1600/DSC_0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uDlFyglBIA/VK0fPipaDQI/AAAAAAAG7zY/5dyWOtJrpMA/s1600/DSC_0026.jpg)
Benki M imesema imeendelea kuboresha huduma kwa...