Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni time ya Chege kuzimiliki headlines za MTV Base leo Alhamisi Dec 17…

Ile video ya wimbo mpya wa  Chege Chigunda aliowashirikisha msanii wa Nigeria Runtown na Uhuru itatambulishwa kwa mara ya kwanza leo Dec 17, 2015 saa 12 jioni za Afrika Mashariki kupitia kituo cha kimataifa cha MTV Base. Video hiyo imeongozwa na director Justin Campos wa Afrika Kusini.   Mabibi na mabwana kwa hesma yenu ile zawadi nilo […]

The post Ni time ya Chege kuzimiliki headlines za MTV Base leo Alhamisi Dec 17… appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Chege aliomshirikisha Runtown wa Nigeria kutambulishwa leo (Dec.17) na MTV Base

Chege mtv

Ni muda mrefu umepita toka msanii kutoka TMK, Chege Chigunda aanze kuzunguzia kuwa anafanya collabo na msanii wa Nigeria, Runtown na Uhuru wa Afrika Kusini – Sweety Sweety, na hatimaye sasa video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini hivi karibuni itatambulishwa kwa mara ya kwanza kupitia MTV Base.

Chege mtv

Video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films itaoneshwa kwenye Spanking New ya MTV Base Ahamisi Dec. 17, 2015 saa 12 jioni (saa za Afrika Mashariki).

Chege anaongezeka kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Chege ‘Sweety Sweety’ yaanza kuinyemelea chati ya MTV Base

chege nw

Ni ndoto za kila msanii anayewekeza pesa zake kwenda kufanya video nje ya nchi na waongozaji wa nje kuona video yake inampigisha hatua moja mbele, moja wapo ikiwa ni kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya nje.

chege nw

Chege ni miongoni mwa wasanii walioachia video mpya hivi karibuni, na video yake ya ‘Sweety Sweety’ iliyoongozwa na Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films baada ya kupata airplay kwenye kituo cha MTV Base kwa siku 12 imeanza kunusa chati ya nyimbo bora za Afrika za kituo hicho wiki hii...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha)

Dec 22, 2015 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay amefanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake kwa kumchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo. Mbunge huyo pia aliweza kuwaruhusu wananchi wake wazungumze kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Hizi ni baadhi ya picha kutoka eneo ambalo mkutano huo ulipofanyika leo […]

The post Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Global Publishers

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

its party time @ Isumba Lounge kuanzia leo Jumatano hadi Alhamisi ijayo...

PARTY starts Wednesday the 24th Dec; X-MAS EVE ndani ya isumba lounge (jollies club). PARTY continues on Thursday the 25th Dec; X-MAS DAY. Friday boxing day, Saturday, Wednesday the 31st Dec 2014  NEW YEAR'S EVE and... Thursday the 1st January 2015: NEW YEAR'S DAY!! Ladies and gentlemen it's party time with DJ JOHN DILLINGA & DJ FAST EDDIE. Karibu sana

 

10 years ago

Vijimambo

Feza Feat.Chege kwenye headlines za burudani na hii mpya ‘Sanuka’…(Audio)


Baada ya ukimya aliyekuwa mshiriki wa Big Brother, Feza Kessy ameachia single yake nyingine mpya inayoitwa ‘Sanuka’ ndani akimshirikisha Chege.
Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Sheddy Clever.
Usikilize hapa mtu wangu…

 

9 years ago

MillardAyo

Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha)

Christmas ya mwaka 2015 itabakia kuwa na historia kubwa kwenye dunia ya burudani, 88.5 usiku wa Dec 25 wamepokea shangwe za burudani kutoka kwa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye  viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam. Hapa nimekusogezea picha 20 uone jinsi kilivyohappen Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha) appeared first on...

 

9 years ago

TheCitizen

Videos should make the cut — MTV Base

There is a growing notion that international TV networks just don’t have time for the music videos that are made by Tanzanian artistes and directors.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani