Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Videos should make the cut — MTV Base

There is a growing notion that international TV networks just don’t have time for the music videos that are made by Tanzanian artistes and directors.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Why TZ music videos don't make the cut

According to Tim what artistes like Diamond and Vanessa Mdee have done makes them relevant almost in every part of the continent.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base

NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...

 

10 years ago

Mtanzania

Video ya Jux yachezwa MTV Base

juxNA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)

MSANII wa Bongo Fleva, Juma Mussa (Jux) ametambulisha video ya wimbo wake mpya aliouita ‘I m looking for you’ ambao picha za video yake imefanyika nchini Afrika Kusini.

Katika video hiyo aliyomshirikisha mwana hip hop, Joh Makini, ni ya kwanza kwa msanii huyo kuchezwa katika kituo cha kimataifa cha MTV Base.

Wimbo huo uliochezwa katika kituo hicho jana majira ya saa 12, video yake imeandaliwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini, Justin Compos wa Gorilla Films huku...

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii Afrika Mashariki kutengewa saa moja ya MTV Base

Wasanii - DiamondJULIET MORI (TUDARCO)

KITUO cha MTV Base kimezindua kipindi kipya kitakachokuwa kikishughulika na wasanii wa Afrika Mashariki kwa kuwahoji na kujua mazingira wanayokutana nayo katika kazi zao kwa ujumla.

Mtandao wa Ghafla Kenya umeeleza kwamba kipindi hicho cha saa moja kitaangalia zaidi maisha ya msanii kiundani na namna anavyoweza kupata kitakachoangalia maisha ya msanii kwa kumtambulisha kiundani, namna anavyoweza kupata mafanikio na aina ya muziki anayofanya.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz ni msanii wa mwezi October, (#AoTM) wa MTV Base

Msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz ndiye msanii wa mwezi huu wa kituo cha MTV Base. Katika kampeni hiyo iitwayo #AoTM msanii mmoja hufanyiwa kampeni ya mwezi mzima kwenye kituo hicho. Mwezi uliopita alikuwa Casper Nyovest wa Afrika Kusini. Diamond akiwa kwenye mtandao wa MTV Base Hivi karibuni MTV Base […]

 

9 years ago

Bongo5

MTV Base presents the Top African Acts To Watch Out For in 2016

mtvbase

Africa’s biggest music TV channel MTV Base presents a first for the channel; with the year coming to an end its music programming team have put together a list of the ‘Top African Acts To Watch Out For In 2016’, featuring the breakthrough new hit makers of 2015 on the continent.

mtvbase

This list follows the recent release of the channels much talked about ‘SA’s Hottest MCs’ and ‘Naija’s Hottest Artists’ 2015 Top 10 lists, but in contrast will feature acts from across the continent and is without...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper K.O aongoza kwenye orodha ya ‘MTV Base Hottest MCs 2014’

Rapper K.O aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’ ametajwa kuwa ndiye MC mkali zaidi Afrika Kusini kwa mwaka 2014, kwa mujibu wa orodha ya ‘MTV Base SA’s Hottest MCs 2014’ Cassper Nyovest ndiye ameshika nafasi ya pili akifuatiwa na mpinzani wake AKA aliyeko kwenye nafasi ya tatu. Vigezo vilivyotumiwa na majaji […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Mtazame Vanessa Mdee akihost show ya #MadeOfBlack ya MTV Base

Mtazame Vanessa Mdee pamoja na watangazaji wengine wa MTV Base wakihost show ya Made of Black ambapo wasanii wakiwemo Fuse ODG walitumbuiza. Hii ni video iliyotokana na kampeni hiyo, ‘Black Commando’ ya Fuse ODG, Olamide & Stanley

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani