Niliwahi kuimba kwenye show za bure zaidi ya 300 kabla sijawa maarufu – Yemi Alade
Mafanikio kwenye muziki huwa hayaji kirahisi wala kwa muda mfupi. Mmoja wa waimbaji wakubwa wa Afrika, Yemi Alade kutoka Nigeria amesema kuwa aliwahi kuimba kwenye show za bure zaidi ya 300 kabla hajawa msanii mkubwa.
Yemi aliyejipatia umaarufu mkubwa sehemu nyingi za Afrika kupitia hit song yake ‘Johnny’, amegusia sehemu ya historia yake ya kimuziki katika mahojiano na kituo cha radio Beat Fm cha Nigeria.
“It wasn’t easy in the beginning. I performed at over 300 free shows before I came...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Nov
Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii
![11253897_955031214568617_1983885996_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11253897_955031214568617_1983885996_n-300x194.jpg)
Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.
Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.
“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.
“So hiyo ilinijengea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o-Q8qxP2Uo0/VVuccCQaNBI/AAAAAAAFSZQ/EnpsMj0Xk5U/s72-c/a.jpg)
Yemi Alade discovers her twin at Awka show
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-Q8qxP2Uo0/VVuccCQaNBI/AAAAAAAFSZQ/EnpsMj0Xk5U/s640/a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--MNnxbTbez8/VVucc-E_jPI/AAAAAAAFSZY/RXieWfHUKVI/s640/c.jpg)
When she finally emerged dressed in a short flair dress and rocking...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015!
Staa wa muziki kutoka Nigeria Yemi Alade ni mmoja wa wasanii kutoka Africa wanaohesabika kuwa na ushawishi mkubwa kwenye soko la muziki la Africa… Nimekutana na interview moja ya Yemi Alade aliyofanya siku chache zilizopita, ndani yake staa huyo amegusia vitu vitatu vikubwa; safari yake ya muziki, sababu iliyopelekea single ya Johnny kuandikwa na mafanikio […]
The post Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015! appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa
9 years ago
Bongo510 Dec
Music: Yemi Alade Ft. DJ Arafat – Do As I Do
![yemi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/yemi-300x194.jpg)
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Yemi Alade amerudi na single mpya kutoka kwenye album yake,”Mama Africa” mpya inayotegemea kuwa mtaani hivi karibuni. Wimbo unaitwa “Do As I Do” wimbo huu amemshirikisha staa kutoka Ivory Coast , DJ Arafat. Mtayarishaji wa wimbo huu ni Selebobo (on the beat).
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...
10 years ago
GPL13 Jan
11 years ago
GPL05 Aug
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Muonekano mpya wa Yemi Alade
STAA wa muziki nchini Nigeria, Yemi Alade ameachia picha zake mpya zinazoonyesha muonekano wake wa sasa.
Picha hizo zimepigwa na mpiga picha Kelechi Amadi-Obi.
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Yemi Alade — Sugar