NLD: Wananchi wanahitaji mabadiliko ya msingi
WAKATI Bunge la Mabadiliko ya Katiba likikutana huko Dodoma, visiwani Zanzibar kumejitokeza maoni tofauti kuhusiana na kipengele cha mfumo wa Muungano wa serikali tatu. Wabunge kutoka vyama vya siasa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Deo Meck: Watanzania wanahitaji mabadiliko
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya
HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD
Mh.Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho katika geneza liloweka mwili wa Shujaa wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi katika viwanja vya karimjee jijini Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.
Mke wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja vya karimjee Oct 20,2015.
Mh.Mmbowe Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.
![](http://www.fikrapevu.com/wp-content/uploads/2014/11/stationery-640x350.jpg)
Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wananchi waaswa kuunga mkono mapambano mabadiliko tabia nchi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Binilith Mahenge, amewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali na Bara la Afrika katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya tabia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EcPmiPVTFII/XtZqVIWSIjI/AAAAAAALsWc/i9zezqTSWtgZ1Y45RSCY_6ego4CXco34wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_153508_3.jpg)
Wananchi Watakiwa kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
Na Woinde Shizza , ARUSHA
BARAZA la Taifa la hifadhi na usimamizi wa Mazingira Kanda ya kaskazini (NEMC) limewataka wananchi kutunza mazingira ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Meneja Meneja wa kanda ya kaskazini Lewis Nzali alisema uharibifu wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa kupoteza kwa baadhi ya viumbe hai maarufu kama bionuai pamoja na hali ya jangwa na ukame.
Alisema kuwa Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya...
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini ataka wananchi wa vijijini wasaidiwe kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi
Mratibu wa mradi wa kudhibiti wanyama wakali kwa kutumia waya na mitii maalumu inayohimili ukame unaofadhiliwa na UNDP Dr. Maurus Msuha akitoa maelezo kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) alipotembelea miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika la UNDP wilayani Longido mkoani Arusha katika ziara yake ya siku mbili mara baada ya kuwasili wilayani humo....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6AN4OSl0CXo/U1AinegJx-I/AAAAAAAFbjY/s87kcR9f3wY/s72-c/unnamed.jpg)
meya wa ilala mstahiki jerry slaa atoa wito wananchi kuzingatia mabadiliko ya baadhi ya njia ya mabasi dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-6AN4OSl0CXo/U1AinegJx-I/AAAAAAAFbjY/s87kcR9f3wY/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Oct
Makaidi wa NLD afariki
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74), ambaye pia alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Masasi mkoani Mtwara kwa tiketi ya chama hicho, amefariki dunia.