Notice of Change of Venue: Skylight Band tukutane kesho Mzalendo Pub
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Skylight Band washeherekea funga mwezi na mashabiki wao kwa burudani ya nguvu, kesho jumamosi tukutane Nyama Choma Festival
Joniko Flower (kulia) akiongoza mashambulizi huku akipewa tafu ya kutoshaaa na Aneth Kushaba (katikati) na Sony Masamba (kushoto).
Kama ilivyo kawaida ya Bendi yako Matata na inayokimbiza Tanzania kwa sasa Ijumaa ya Tarehe 31.11.2014 walipiga bonge moja la show pale Masaki Thai Village, Show hiyo iliandaliwa maalumu kuwashukuru mashabiki wao wanaowapiga sapoti ya nguvu kwenye show zao za kila Mwisho wa wiki.Kama Kawaida Mlangoni ulikuwa ukiingia unapata Glass moja Ya Tequila.Ratiba Yetu...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
The Stars Band kuzinduliwa rasmi Eid Mosi ndani ya Mzalendo Pub
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Anneth Kushaba inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikitarajiwa kusindikizwa na mwanamuziki Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’
Kiongozi wa Stars Band, Kushaba anasema kuwa, tayari wapo katika mazoezi mbalimbali na ‘crew’ nzima ya bendi hiyo ambayo inaunganisha...
10 years ago
GPLTHE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI NDANI YA MZALENDO PUB IKISINDIKIZWA NA FM ACADEMIA, BARNABA
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
The Stars Band yazinduliwa rasmi siku ya Eid Mosi Mzalendo Pub, huku ikisindikizwa na FM Academia pamoja na Barnaba
Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wake pamoja na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa uzinduzi...
11 years ago
Dewji Blog02 May
Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wake, tukutane Thai Village leo
Picha juu na chini Aneth Kushaba AK47 akiongoza Divas wa Skylight Band kuwapa raha mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar. Usikose jioni yale ucheze Kariakoo na style kibao mpya za Skylight Band ikiwemo “Kikuku huyo Kwiyo Kwiyo”
Winfrida Richard akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band sambamba na Aneth Kushaba AK47.
Hashim Donode na Winfrida Richard wakitoa burudani huku wakisindikizwa na Digna Mbepera.
Mashabiki wa Skylight Band wakifanya...
10 years ago
VijimamboTHE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbKSIxEcMBI/VavMZMuhl2I/AAAAAAABSL4/K8gUhWx8El4/s640/DSC_0033.jpg)
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Skylight Band yazidi kuwateka mashabiki wake wa muziki wa live, tukutane baadae Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakitoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar..Kutoka kushoto ni Aneth Kushaba AK47, Mkongwe wa muziki wa dansi Joniko Flower, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo, Digna Mbepera na Sam Mapenzi.
Sehemu ya umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na sebene la Nasaka Dough ndani ya kiota cha Thai Village Masaki Ijumaa iliyopita.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na rapa...