Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyang’anyi awashukia wenye uchu wa madaraka

Balozi Mustafa Nyang’anyi, amesema kushuka kwa uzalendo, uchu wa madaraka na chuki miongoni mwa Watanzania, ndiyo mambo yanayowasukuma baadhi ya watu kupiga kampeni ya kutaka muundo wa Serikali tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waaswa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka

WATANZANIA wametakiwa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao wamekuwa wakilazimisha mambo, ikiwa ni pamoja na kutoa kauli zinazoashiria kuvunjika kwa amani na utulivu uliodumu kwa miaka 53 sasa.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia  sehemu ya wakazi wa Nungwi na Wafuasi wa CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Skuli,jimbo la Nungwi,wilaya ya Kaskazini A,mkoa wa Kaskazini Unguja.Kinana amewataka Wananchi hao kuwa makini na baadhi ya viongozi wenye tamaa ya madaraka kwa kuahidiwa mambo ambayo hayatekelezeki,pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi siku ikifika ya kupiga kura ya ndiyo kwa katiba inayopendekezwa,kwani imejaa mambo mengi na...

 

11 years ago

TheCitizen

Two govts abest for us, says Nyang’anyi

People pushing for a three-government union are driven by hunger for power, suspicion, hatred and the lack of patriotism, retired politician Mustafa Nyang’anyi has claimed.

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi Pt II

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Tunaendelea na sehemu ya pili ya mazungumzo yetu, ambapo Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea namna
1: Alivyoingia kwenye siasa (ubunge mwaka 1970)
2: Alivyopata taarifa za kwanza za uteuzi wake serikalini. Hapa napo pana mvuto wake kusikiliza.
3: Nafasi alizoshika kama naibu waziri na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi (Pt 1)

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hili cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi ambaye ametueleza mengi juu ya safari yake kimaisha
Katika sehemu hii ya kwanza, Mhe. Balozi Nyang'anyi anaelezea
1: Historia yake.
 2: Aliposoma na alivyosoma.
 3: Namna alivyofika / kupata kazi Shirika la Utangazaji Tanganyika (TBC)
 4: Alivyoingia kwenye masuala ya diplomasia na kisha.....alivyoiona nafasi ya ubunge kwa mara ya kwanza 1970. Hii ni safari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA: Viongozi acheni uchu wa madaraka

VIONGOZI ndani ya serikali wa taasisi mbalimbali wametakiwa kuacha uchu wa madaraka, badala yake wajifunze kwa waasisi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Shirikisho la Vyama...

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri huu ni demokrasia au uchu wa madaraka?

Kila unakopita mjadala ni mmoja: “Je, hawa watiania wa Chama cha Mapinduzi mbona wanazidi kuongezeka kila kukicha, maana yake ni nini?”

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAMTEMBELEA BALOZI MSTAAFU MSTAFA NYANG.ANYI

Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi (kulia) ,pamoja na wasaidizi wake walipomtembelea balozi mstaafu Mustafa Nyang'anyi nyumbani kwake Gaithersburg,Maryland nchini Marekani. Kuanzia kushoto ni Zuberi Athumani, Balozi Mstaafu Mustafa Nyang'anyi, Shemuni Halahala na Awadh Zuberi,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani