Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Two govts abest for us, says Nyang’anyi

People pushing for a three-government union are driven by hunger for power, suspicion, hatred and the lack of patriotism, retired politician Mustafa Nyang’anyi has claimed.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nyang’anyi awashukia wenye uchu wa madaraka

Balozi Mustafa Nyang’anyi, amesema kushuka kwa uzalendo, uchu wa madaraka na chuki miongoni mwa Watanzania, ndiyo mambo yanayowasukuma baadhi ya watu kupiga kampeni ya kutaka muundo wa Serikali tatu.

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi (Pt 1)

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hili cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi ambaye ametueleza mengi juu ya safari yake kimaisha
Katika sehemu hii ya kwanza, Mhe. Balozi Nyang'anyi anaelezea
1: Historia yake.
 2: Aliposoma na alivyosoma.
 3: Namna alivyofika / kupata kazi Shirika la Utangazaji Tanganyika (TBC)
 4: Alivyoingia kwenye masuala ya diplomasia na kisha.....alivyoiona nafasi ya ubunge kwa mara ya kwanza 1970. Hii ni safari...

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi Pt II

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Tunaendelea na sehemu ya pili ya mazungumzo yetu, ambapo Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea namna
1: Alivyoingia kwenye siasa (ubunge mwaka 1970)
2: Alivyopata taarifa za kwanza za uteuzi wake serikalini. Hapa napo pana mvuto wake kusikiliza.
3: Nafasi alizoshika kama naibu waziri na...

 

10 years ago

GPL

MAZUNGUMZO NA MHE. BALOZI MUSTAFA NYANG'ANYI

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hili cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi ambaye ametueleza mengi juu ya safari yake kimaisha
Katika sehemu hii ya kwanza, Mhe. Balozi Nyang'anyi anaelezea
1: Historia yake.
 2: Aliposoma na alivyosoma.
 3: Namna alivyofika / kupata kazi Shirika la Utangazaji Tanganyika… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi Pt III

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Tunaendelea na sehemu ya tatu ya mazungumzo yetu, ambapo Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea namna
1: Alivyoingia kwenye siasa (ubunge mwaka 1970)
2: Alivyopata taarifa za kwanza za uteuzi wake serikalini. Hapa napo pana mvuto wake kusikiliza.
3: Nafasi alizoshika kama naibu waziri na waziri...

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAMTEMBELEA BALOZI MSTAAFU MSTAFA NYANG.ANYI

Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi (kulia) ,pamoja na wasaidizi wake walipomtembelea balozi mstaafu Mustafa Nyang'anyi nyumbani kwake Gaithersburg,Maryland nchini Marekani. Kuanzia kushoto ni Zuberi Athumani, Balozi Mstaafu Mustafa Nyang'anyi, Shemuni Halahala na Awadh Zuberi,

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WAMTEMBELEA BALOZI MSTAAFU MUSTAFA NYANG'ANYI WASHINGTON DC

Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi ,pamoja na wasaidizi wake walipomtembelea balozi mstaafu Mustafa nyang'anyi nyumbani kwake Washington, kuanzia kushoto ni Awadh Zuberi, Shemuni Halahala,Balozi Nyang'anyi, Zuberi Athumani.

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi.... Sehemu ya mwisho

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Na katika sehemu hii ya nne na ya mwisho ya mazungumzo yetu, Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea
1:Tukio la ugaidi la Septemba 11, 2001  - walivyopata taarifa (kama wanadiplomasia), na kilichofuata
2: Jukumu la kukuza mwanya wa biashara kati ya Marekani na Afrika, ambalo lilisababisha...

 

10 years ago

GPL

MAZUNGUMZO NA MHE. BALOZI MUSTAFA NYANG'ANYI PT III

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Tunaendelea na sehemu ya tatu ya mazungumzo yetu, ambapo Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea namna
1: Alivyoingia kwenye siasa (ubunge mwaka 1970)
2: Alivyopata taarifa za kwanza za uteuzi wake serikalini. Hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani