Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz: Narusha fedha, mikufu kuvutia mashabiki

dimpoz2NA RHOBI CHACHA
MKALI wa wimbo wa ‘Wanjera’, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema hurusha baadhi ya vitu vyake vikiwemo mikufu ya dhahabu, fulana, kofia na fedha kwa mashabiki wake awapo jukwaani ili kuwashawishi waendelee kupenda muziki wake.
“Hakuna kitu ninachokipenda kama kurusha vitu vyangu mashabiki wangu nikiwa jukwaani hii inaonyesha jinsi gani nawapenda, lakini pia inaongeza burudani kwao huku wakiendelea kupenda shoo yangu na muziki wangu kwa ujumla,’’ alifafanua Dimpoz.
Aliongeza...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz

ommyNA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...

 

10 years ago

Bongo5

Kalapina adai ‘Good Time’ aliyomshirikisha Ommy Dimpoz imemuongezea mashabiki wa kike

Msanii nguli wa Hip hop hapa Bongo, Kalapina amesema anaona ngoma yake mpya ya ‘Good Time’ aliyomshirikisha Ommy Dimpoz imemletea mashabiki wapya wa kike. Kalapina amesema hayo wakati akiongea na ENews ya EATV. “Unajua kwa muda mrefu sikuwa nimehusisha ngoma ya mapenzi katika kazi zangu ila baada ya kuamua kufanya kazi ya aina hiyo na […]

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Ommy Dimpoz kuwapenda wanaomchukia

dimpozNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema hakuna haja ya kuwajengea chuki watu wanaojifanya kukupenda lakini hawafurahishwi na mafanikio yako.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Dimpoz ambaye alishindwa kufanya shoo nchini Marekani kutokana na visa yake kuwa na mapungufu, alisema imekuwa ni jambo la kawaida wasanii kuchukiwa bila sababu za msingi.
“Unajua mara nyingi unapoamua kuweka chuki sababu ya watu fulani ambao...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

New Video: Ommy Dimpoz — Tupogo Remix

Video mpya kutoka kwa Ommy Dimpoz wimbo “Tupogo Remix” video imeongozwa na Adam Juma

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani