ONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) 2015 KUFANYIKA AGOSTI 5 MPAKA 7 UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
 Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la  Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na kueleza kuwa onesho ilo litafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia tarehe 5 hadi 7 August 2015 ambapo wanafunzi wataweza kuonesha tafiti za kisayansi na kitekinologia zilifanywa na wanafunzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) KWA MWAKA 2015 KUFANYIKA TAREHE 05 MPAKA 07 MWEZI WA NANE KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Onesho la Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka 2015 kufanyika tarehe 05-07 mwezi wa nane katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na kueleza kuwa onesho ilo litafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia tarehe 5 hadi 7 August 2015 ambapo wanafunzi wataweza kuonesha tafiti za kisayansi na kitekinologia zilifanywa na wanafunzi wa sekondari kwa takribani mwaka mmoja.
Mwakilishi wa Ubalozi wa Ireland...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xNj-otEqIxw/VcIAeact-OI/AAAAAAAAIq4/Pw94rzHhKHo/s72-c/1.jpg)
YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) YAENDESHA MAONYESHO YA 5 YA SAYANSI DIAMOND JUBILEE DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-xNj-otEqIxw/VcIAeact-OI/AAAAAAAAIq4/Pw94rzHhKHo/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hfKFCCEzGiU/VcIAiG32flI/AAAAAAAAIrs/IWadVj3V_yg/s640/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), yaandaa onesho la sites kufanyika ukumbi wa Mlimani City Oktoba Mosi jijini Dar
Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.
Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika...
10 years ago
VijimamboBODI YA UTALII TANZANIA (TTB), YAANDAA ONESHO LA SITES KUFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY OKTOBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Dk. Shein kukabidhi Tuzo kwa Wanamichezo Bora Tanzania ndani ukumbi wa Diamond Jubilee hapo kesho
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
MAANDALIZI kwa ajili ya Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Ijumaa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, kuanzia saa 12 jioni, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
Wanamichezo mbalimbali wanatarajiwa kupewa tuzo hizo kutokana...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tpJpzeqtCCmuQXv2hFlpndZtOetG-BOFkc*ku0r2Wl*EdzQw78ek0cxaTYWpgESNAqPOLXV3OY5MTC6RwK8FwrHW*wkwj2eC/USIKUWAMASAUTILUXURY1.jpg?width=650)
ONESHO LA MASAUTI LUXURY ILIVYOWEKA HISTORIA UKUMBI WA MZALENDO SECOND FLOOR
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OrC_QQvbhL0/VdT0BMGbpHI/AAAAAAAHydc/3Queq-kNNm8/s640/IMGS0167.jpg)
MAGUFULI ALIPOTAMBULISHWA KWA WAZEE WA DAR, UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
Dewji Blog07 May
Pinda atembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua wakati alipoingia kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam kutembelea maonyesho ya biashara ya Cyria Mei 6, 2015. Kushoto ni balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annanna kulia ni Mratibu wa maonyesho hayo, Fetian Abdulal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annan wakikata keki wakati Waziri Mkuu alipotembelea maonyesho ya Biashara ya Syria kwenye ukumbi wa Diamond...