PAC yaishauri Serikali namna ya kuinusuru kampuni ya TTCL
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/Ofisa-Mtendaji-Mkuu-wa-Kampuni-ya-Simu-Tanzania-TTCL-Dk.-Kamugisha-Kazaura-kushoto-akiwa-katika-majukumu..jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa mapendekezo ya kuinusuru Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kutokana na hali mbaya ya kampuni hiyo kifedha kwa sasa ambapo inaendeshwa kwa hasara huku ikiwa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/Mwenyekiti-wa-Kamati-ya-Kudumu-ya-Bunge-ya-Hesabu-za-Serikali-PAC-Kabwe-Zitto-kulia-na-Makamu-Mwenyekiti-wa-Kamati-hiyo-Deo-Filikunjombe-wakiwa-katika-majukumu-yao..jpg)
PAC YAISHAURI SERIKALI NAMNA YA KUINUSURU KAMPUNI YA TTCL
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cgpWfTY9q1c/VJfjbj8TE7I/AAAAAAAG4-4/tL6DQzeT-r4/s72-c/images.jpg)
makala mpya ya sheria: MILIKI KAMPUNI , JIFUNZE NAMNA YA KUUNDA KAMPUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cgpWfTY9q1c/VJfjbj8TE7I/AAAAAAAG4-4/tL6DQzeT-r4/s1600/images.jpg)
Si rahisi kufanikiwa katika biashara bila kuifanya biashara yako katika mtindo wa kampuni.
Hata iwe ndogo ya kuuza mayai au kufuga kuku mafanikio zaidi ni pale...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SXO6MdXJoWU/XpTBhZJe8CI/AAAAAAALm3c/RzYzmNIafvQADKXXfeLFnXNfYLbH87ogACLcBGAsYHQ/s72-c/21150352_1540420502667387_2594414460868491274_n.jpg)
TAAnet YAISHAURI SERIKALI BAR NA VILABU VYA POMBE KUFUNGWA WAKATI HUU WA MAPAMBANO NA MARADHI YA COVID-19
Mtandao wa Wadau wanaopambana na unywaji pombe kupita kiasi–TAAnet wameishauri serikali kutoa tamko la kufunga bar na klabu zote za pombe ili kudhibiti unywaji wa pombe na kuleta madhara makubwa kwa
binadamu ikiwemo kushusha kinga za mwili.
Hayo yamesemwa na mtandao huo wa TAAnet wakiungana kwa pamoja na serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya korona na kutambuliwa kama covid-19.
Katibu wa TAAnet Gladness...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Arsenal yafanya mazungumzo na Kampuni ya TTCL
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0021.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0001.jpg)
10 years ago
StarTV06 Feb
Kampuni ya Simu TTCL yakanusha kufilisika.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Wakati taarifa za kufilisika kwa Kampuni ya simu nchini TTCL zikichukua nafasi hivi sasa, kampuni hiyo imekanusha madai hayo ikiwahakikishia watanzania maboresho ya huduma zake yatakayoanza kufanyika hivi karibuni na huduma bora zaidi kuanza kutolewa baadae mwaka huu.
Imesema, tayari imekwishasaini makubaliano ya maboresho hayo na kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa utekelezaji wake.
TTCL, kampuni tanzu ya huduma za mawasiliano hapa nchini, hivi sasa...
10 years ago
Michuzi24 Jan
Timu ya Arsenal yafanya mazungumzo na Kampuni ya TTCL
![Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Timu maarufu ya mpira wa miguu duniani ya Arsenal, Dam Stone (kulia) akipokea zawadi kutoka Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) iliyokabidhiwa na Meneja wa Masoko na Usambazaji wa TTCL, Robart Noel kabla ya kuanza mazungumzo ya kibiashara kati ya pande hizo mbili.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_00201.jpg)
![Kutoka kushoto ni Meneja wa Masoko na Usambazaji wa Kampuni ya Simu ya TTCL, Robart Noel, Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Timu maarufu ya mpira wa miguu duniani ya Arsenal, Daniel Willey na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Timu maarufu ya mpira wa miguu duniani ya Arsenal, Dam Stone wakizungumza na wanahabari kabla ya kuanza kikao cha mazungumzo ibiashara kati ya TTCL na Timu ya Arsanal leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_00081.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jul
Viongozi waipongeza kampuni ya TTCL Maonesho ya Sabasaba
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea Banda la TTCL katika maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Kibiashara katika viwanja vya Sabasaba. Mama Salma katika mazungumzo yake aliipongeza TTCL kwa kazi nzuri inayoifanya katika kuleta maendeleo nchini.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Banda la TTCL kwenye viwanja vya maonyesho ya TANTRADE yanayoendelea jijini...
10 years ago
MichuziKampuni ya Simu Tanzania TTCL Yazinduwa Dili la Ukweli
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya huduma hiyo, Meneja Huduma za Intaneti wa TTCL, Abdul Mombokaleo amesema kampuni ya Simu Tanzania imeamua kuzindua promosheni mpya ya “DILI LA UKWELI” inayotoa fursa ya mteja wa...