Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Palestina yakomesha ushirikiano na Israeli

Mamlaka ya kipalestina Palestine Liberation Organisation imekomesha ushirika wake wa usalama na Israel.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kerry:Israeli na Palestina ziache uchochezi

John Kerry amewataka wapalestina na waisraeli kusitisha uchochezi uliosababisha vurugu zinazoendelea baina yao kwa haraka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kerry kukutana na viongozi Israeli na Palestina

John Kerry, atakutana na waziri mkuu wa Israil, Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina, Mahmoud Abbas.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Man u yakomesha Swansea 2-0

Msururu wa matokeo mabaya ya klabu ya Manchester United leo umekomeshwa na mchezaji Adnan Januzaj aliyesaidia timu kushinda mabao 2-0 dhidi ya Swansea

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yakomesha 'Bring Back our Girls'

Polisi wa Nigeria wamepiga marufuku maandamano yote ya 'Bring Back our Girls' wakidai kuwa yanatishia usalama wa raia wa Abuja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yakomesha ibaada ya Umra Mecca

Serikali ya Iran imesitisha hija ya Umrah Mecca na Medina kufuatia kashfa ya ngono inayodaiwa kutekelezwa na maafisa wa usalama wa Saudia

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein

 Balozi wa Sudan nchini, Dr Yassir Mohamed Ali akijiandaa kusaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein, aliyefariki Jumatano wiki hiiBalozi wa Iran nchini, Mehd Aghajafari akisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi: Israeli yaamua

Mamilioni ya wapiga kura wamejitokeza leo kuchagua wabunge wapya nchini Israeli

 

11 years ago

TheCitizen

Israeli diplomats lay down tools

>Israeli diplomats at the Kenya Mission – whose mandate also covers Tanzania, Malawi, Uganda and Seychelles – have staged an open-ended strike to demand more pay.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani