Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerry:Israeli na Palestina ziache uchochezi

John Kerry amewataka wapalestina na waisraeli kusitisha uchochezi uliosababisha vurugu zinazoendelea baina yao kwa haraka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kerry kukutana na viongozi Israeli na Palestina

John Kerry, atakutana na waziri mkuu wa Israil, Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina, Mahmoud Abbas.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kerry: Israel na Palestina zungumzeni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry srael na Palestina kutia maanani usitishwaji wa mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Palestina yakomesha ushirikiano na Israeli

Mamlaka ya kipalestina Palestine Liberation Organisation imekomesha ushirika wake wa usalama na Israel.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein

 Balozi wa Sudan nchini, Dr Yassir Mohamed Ali akijiandaa kusaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein, aliyefariki Jumatano wiki hiiBalozi wa Iran nchini, Mehd Aghajafari akisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein,...

 

10 years ago

Habarileo

Vyama vyatakiwa kuacha uchochezi

MASHIRIKA yasiyo ya Serikali yanayotetea Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Demokrasia, Utawala bora, Maendeleo na Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi (FemAct), yametaka vyama vya siasa na makundi mbalimbali kuacha kushiriki katika vitendo vya kiuchochezi vinavyoweza kusababisha vurugu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumemuacha Mwigulu afanye uchochezi!

MAANDIKO matakatifu ya Biblia, Luka 17:1- yanasema kuwa; Makwazo hayana budi kuja lakini ole wake mtu anayesababisha makwazo hayo, kwani anastahili kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini. Naibu...

 

10 years ago

Habarileo

Ponda aomba kesi ya uchochezi isimamishwe

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Issa Ponda ameomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani Morogoro.

 

11 years ago

GPL

KUMBE NYERERE ALISHITAKIWA KWA UCHOCHEZI

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Dar es Salaam Juni 9, 1958 katika kesi ya jinai namba 2207/58 mbele ya Hakimu L.A.Davis. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwendesha mashitaka wa kesi hiyo alikuwa J.C.Summerfied na Mwalimu Nyerere alitetewa na mawakili watatu, D.N.Pritt aliyekuwa wakili kiongozi akisaidiwa na Wakili Mahamoud Rattansey na Wakili K.L.Jhavery....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani