KUMBE NYERERE ALISHITAKIWA KWA UCHOCHEZI
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidUse1Z2mVbcypoO4XG5rDLMpOsLPA1yuHRmQSrakUTE7k6KU0sWHlEaxowmacQUPEofV5vowTUyB*tDeN9z7JKg/NYERERE.jpg?width=650)
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Dar es Salaam Juni 9, 1958 katika kesi ya jinai namba 2207/58 mbele ya Hakimu L.A.Davis. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwendesha mashitaka wa kesi hiyo alikuwa J.C.Summerfied na Mwalimu Nyerere alitetewa na mawakili watatu, D.N.Pritt aliyekuwa wakili kiongozi akisaidiwa na Wakili Mahamoud Rattansey na Wakili K.L.Jhavery....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mwenyekiti wa Kijiji matatani kwa uchochezi
MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, Mara, Jogoro Amoni amekamatwa na polisi kwa kile kinachodaiwa kuchochea ukabila katika kijiji hicho na kusababisha ugomvi uliojeruhi vijana watatu. Amri...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4EnF7Lx6sXA/VIqyTR6ITnI/AAAAAAADKEU/nEPZx0QuyCI/s72-c/Kafulila-pix.jpg)
KAFULILA MBARONI KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4EnF7Lx6sXA/VIqyTR6ITnI/AAAAAAADKEU/nEPZx0QuyCI/s1600/Kafulila-pix.jpg)
Kafulila alikamatwa mapema jana asubuhi katika mji mdogo wa Nguruka wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, ambako alikuwa akifanya mikutano ya hadhara, kuelezea sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Escrow na kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za...
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Mwenyekiti wa ‘JKT’ akamatwa kwa tuhuma za uchochezi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jIq*xulSdcLSxnqYpYn*GlIwUzCFnUh*PqDvsaklnx2l4bFyje*l6N9UD4tPAT93pHxUo9j97YRaOmlsDvx9qOU/lucy.jpg)
WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKjtjvnMeQckt6-bmQX-CwHWLeeBe6YhJDjjY8XeyNde*fNLLWUB87Qry4TjC2AYaf5AgRnyzKWNOTEQXC-5BJd/haaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzriMWRge0N-p0VdztGqzS046Y5VN3DBtnrsbMpT3TCjYrUevHedvMR2*9dS2J-Eyt511vdnHi0kKYtWDi30zS9V/NorwayStudentVisa.jpg?width=640)
KUMBE MADENTI WENGINE ‘WANAJILENGESHA’ KWA MATICHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
DAWA YA CORONA KUMBE ALIKUWA NAYO RAIS MAGUFULI...AHSANTE KWA KUTUPONYA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli naomba nianze kwa kukusalimia mzee wangu.Shikamoo,natumai unaendelea vema na jukumu la kuwatumikia Watanzania na hasa ya kuleta maendeleo yao.
Baada ya salamu iliyoambatana na unyenyekevu mkubwa kwako naomba sasa nieleze jambo japo kidogo tu.Ndio kuna kitu nataka kueleza na linahusu janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid- 19.
Kama mnavyofahamu ugonjwa huo bado umeendelea kuwa tishio duniani kote.Mataifa madogo na makubwa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Tumemuacha Mwigulu afanye uchochezi!
MAANDIKO matakatifu ya Biblia, Luka 17:1- yanasema kuwa; Makwazo hayana budi kuja lakini ole wake mtu anayesababisha makwazo hayo, kwani anastahili kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini. Naibu...