Tumemuacha Mwigulu afanye uchochezi!
MAANDIKO matakatifu ya Biblia, Luka 17:1- yanasema kuwa; Makwazo hayana budi kuja lakini ole wake mtu anayesababisha makwazo hayo, kwani anastahili kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini. Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Mgimwa aomba kura afanye maendeleo
MGOMBEA ubunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa (CCM), amewaomba wakazi wa eneo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo kwa sababu ana uwezo wa kuyaendeleza mazuri yaliyoachwa na aliyekuwa mbunge kabla yake, marehemu Dk....
10 years ago
Bongo Movies08 Apr
Shilole Awataka Watu Wamuache Afanye Yake
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole ‘Shishi Bybee’ amewataka watu wamuache afanye kile anachokitaka kwenye maisha yake na sio kumpagia aishi vipi.
Shishi Bybee aliyasema hayo mara baada ya baadhi ya watu kumshambulia kwa maneno baada ya kuweka picha picha akiwa yupo kwenye bwawa la kuogelea.
“Yaani watu mnapenda kunipa raha sana mimi mwenywe nimejikubali na mimi nipo swimming mlitaka nivae dela??? Nioge nalo kwa hiyo tunapangiana na maisha ya nyumban pia lol! Kila mtu na...
10 years ago
Vijimambo27 Jul
MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11755841_413287888873445_2106573133163130795_n.jpg?oh=9451fdf345acb2c75da9e79964a0ce81&oe=5615EC51&__gda__=1447533016_32aa9a5991df6cd0b6cf358fac954b12)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11800627_413287962206771_4754712698487591827_n.jpg?oh=941a7f964081720874405faec5869491&oe=56400105&__gda__=1447248947_9f0bfb1e592cc98af4338c6862498594)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11813446_413288078873426_9175769329529634210_n.jpg?oh=82148da2ca7fa081af44e702237fe9d2&oe=564BF80D)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11800298_413288192206748_6876444543487673492_n.jpg?oh=325138e014fca12e27f8ac823b042ec4&oe=56167396)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11752049_413288222206745_8195873578990887065_n.jpg?oh=e3074681d8f79860978335113350b32a&oe=565B295F&__gda__=1448523222_1f250c64c2c61c829a9a2e0a77da4251)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11755091_413288278873406_6272914591160075634_n.jpg?oh=e4143ad741f7dfaa1963f602e92f0fba&oe=5659D250)
11 years ago
GPLASHA BARAKA ANASUBIRI RASIMU YA KATIBA ILI AFANYE UAMUZI
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Mzazi afanye haya ili mtoto apate matokeo mazuri
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Mzee Jangala: Alitamani Mtoto Wake Afanye Kazi Hii..
MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.
Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.
“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye akiwa jeshini lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3PR7*Lbm1vty25v-M8Jzg05LNukhLaan42EtMr1EmNQv4TXnolkHwIlIiYIb6knxIClADYknh*iK65wtL2gYAXT/mzungu.jpg)
KHAA! MZUNGU DAR ADAIWA KUMLAZIMISHA HAUSIGELI AFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Licha ya kuhusishwa kuwa hawapatani, Rafael Benitez kamuomba Cristiano Ronaldo afanye hivi …
Barani Ulaya kwa sasa kwa upande wa vilabu ambavyo makocha wake wanatajwa kuwa katika wakati mgumu na wanahusishwa kufukuzwa ni Jose Mourinho wa klabu ya Chelsea, ambaye timu yake imekuwa ikifanya vibaya msimu huu, kwa upande wa Hispania ni Rafael Benitez ambaye yeye pia timu yake haijafanya vibaya sana ila inatajwa kuwa kuna baadhi ya wachezaji […]
The post Licha ya kuhusishwa kuwa hawapatani, Rafael Benitez kamuomba Cristiano Ronaldo afanye hivi … appeared first on...
10 years ago
Habarileo12 Nov
Vyama vyatakiwa kuacha uchochezi
MASHIRIKA yasiyo ya Serikali yanayotetea Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Demokrasia, Utawala bora, Maendeleo na Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi (FemAct), yametaka vyama vya siasa na makundi mbalimbali kuacha kushiriki katika vitendo vya kiuchochezi vinavyoweza kusababisha vurugu nchini.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10