Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vyatakiwa kuacha uchochezi

MASHIRIKA yasiyo ya Serikali yanayotetea Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Demokrasia, Utawala bora, Maendeleo na Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi (FemAct), yametaka vyama vya siasa na makundi mbalimbali kuacha kushiriki katika vitendo vya kiuchochezi vinavyoweza kusababisha vurugu nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele



Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...

 

9 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUTUMIA LUGHA ZA KISTAARABU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Mkurugenzi wa Mtendaji wa kituo cha Sheria na Haki za Dr. Binadamu Hellen Bisimba   akizungumza na wananchi waliofika kwenye uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya Azaki Tanzania  katika ukumbi wa Milleniamu Towers Kijitonyam leo Jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume ya Haki za binadamu na utawara bora,Bahame Nyanduga akizindua ilani ya uchaguzi ya Azaki Tanzania katika ukumbi wa Milleniamu Towers Kijitonyama leo Jijini Dar es Salaam.  Kushoto ni Mkurugenzi wa Mtendaji wa kituo cha Sheria na...

 

5 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWA NA OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA



Na: Mwandishi Wetu - ORPP

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa wito kwa vyama vya siasa kufungua ofisi za makao makuu Jijini Dodoma kwa kuwa ndiyo makao makuu ya serikali.

Wito huo umetolea na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, alipotembelea ofisi ndogo za makao makuu ya Chama cha Wakulima (AAFP) jijini Dodoma hivi karibuni.

Nyahoza alisema kuwa Vyama vyote vya Siasa vinatakiwa kuwa na ofisi za makao makuu jijini Dodoma kwa kuwa ndiko shughuli zote za serikali...

 

10 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.



Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.


Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...

 

9 years ago

StarTV

Wananchi wahimizwa kusikiliza sera za vyama vya siasa na kuacha ushabiki

Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki wa vyama na badala yake wajitokeze kusikiliza sera za vyama mbalimbali vya siasa nchini ili waweze kuchagua kiongozi kutokana na sera zitakazowaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Marco Manyilizu wakati wa kunadai sera za chama hicho kwa wananchi wa Kata ya Nyehunge wilayani Sengerema. 

Akizungumza katika mkutano wa kampeni mgombea huyo amesema kuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Vyatakiwa kuandaa viongozi kimaadili

MWITO umetolewa kwa vyama vya siasa nchini kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa katika elimu ya maadili na uongozi kama ilivyokuwa huko nyuma ili kuisaidia nchi kupata viongozi waadilifu na wawajibikaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Vyombo vya habari vyatakiwa kukuza utalii

Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), imesema inatambua mchango wa vyombo vya habari katika kukuza na kundeleza sekta ya utalii wa ndani na nje na kwamba wataendelea kushirikiana ili kutokomeza vitendo vya ujangili.

 

5 years ago

Michuzi

VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi aina ya Tenera unaozalishwa katika shamba la Wakala wa Mbegu (ASA) kituo cha Bugaga wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma hivi leo.  (Habari na Picha Wizara ya Kilimo) .

Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
Katibu ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani