Vyatakiwa kuandaa viongozi kimaadili
MWITO umetolewa kwa vyama vya siasa nchini kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa katika elimu ya maadili na uongozi kama ilivyokuwa huko nyuma ili kuisaidia nchi kupata viongozi waadilifu na wawajibikaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Apr
Serikali kubana zaidi viongozi kimaadili
SERIKALI imeanzisha ramsi mwongozo wa maadili ya viongozi wa umma wenye lengo la kukabiliana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma nchini, mgongano wa kimaslahi, kuongeza uwajibikaji, uadilifu na uwazi katika shughuli za umma.
9 years ago
StarTV14 Sep
Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s72-c/22222.jpg)
WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s1600/22222.jpg)
Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.
Nimesema watoto wetu wanamaliza kwakua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa...
10 years ago
Habarileo12 Nov
Vyama vyatakiwa kuacha uchochezi
MASHIRIKA yasiyo ya Serikali yanayotetea Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Demokrasia, Utawala bora, Maendeleo na Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi (FemAct), yametaka vyama vya siasa na makundi mbalimbali kuacha kushiriki katika vitendo vya kiuchochezi vinavyoweza kusababisha vurugu nchini.
11 years ago
Mwananchi28 May
Vyombo vya habari vyatakiwa kukuza utalii
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele
Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2762-2048x1365.jpg)
VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_2762-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2910.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2997.jpg)
Katibu ...
10 years ago
Habarileo18 Jan
Vyombo vya habari vyatakiwa kusaidia elimu Katiba mpya
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk Fenella Mukangara amewataka wanahabari kutoa elimu kuhusu kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na uchaguzi mkuu, ili wananchi waweze kufanya uamuzi sahihi wakati utakapowadia.