Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kubana zaidi viongozi kimaadili

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Kapteni George MkuchikaSERIKALI imeanzisha ramsi mwongozo wa maadili ya viongozi wa umma wenye lengo la kukabiliana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma nchini, mgongano wa kimaslahi, kuongeza uwajibikaji, uadilifu na uwazi katika shughuli za umma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vyatakiwa kuandaa viongozi kimaadili

MWITO umetolewa kwa vyama vya siasa nchini kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa katika elimu ya maadili na uongozi kama ilivyokuwa huko nyuma ili kuisaidia nchi kupata viongozi waadilifu na wawajibikaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi

Takribani mwezi mmoja baada ya Rais John  Magufuli kuingia madarakani,  mambo mengi ameyafanya yakiwamo yanayoshangaza.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO

LEO watoto wetu wapatao 808,111 wanamaliza elimu yao ya msngi ya Darasa la Saba nchini kote.
Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.
Nimesema watoto wetu wanamaliza kwakua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki

Viongozi kutoka nchi zinazotumia sarafu ya Euro wanatarajiwa kukutana Jumatatu ijayo kujadili madeni ya Ugiriki

 

10 years ago

Vijimambo

JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadicky, akiongoza kikao cha RCC, Ilala Boma jijini leo Jumanne Mei 26, 2015. Kwa pamoja kikao hicho kilichowaleta pamoja, wabunge wote wa Dar es Salaam, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa Manispaa zote tatu, Temeke, Ilala na Kinondoni, watendaji wa Manispaa hizo, na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa mkoa, kimependekeza kuongezwa kwa majimbo zaidi ya uchaguzi kwenye jiji hilo lenye wakazi wanaokaribia miulioni 5. Majimbo pendekezwa waliyataja...

 

9 years ago

Mtanzania

Basata kubana wasanii wanaokejeli

Basata shilole1NA MWALI IBRAHIM

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limewaonya wasanii wanaotumia lugha chafu na ukiukwaji wa maadili hasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Katibu mkuu wa baraza hilo, Gofrey Mngereza, alisema baraza hilo litachukua hatua stahiki kwa wimbi la wasanii wanaovunja maadili, wanaokaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi zao za sanaa jambo ambalo linazua malalamiko, masikitiko na hofu kwa mashabiki wa kazi za sanaa.

“Lugha zenye maneno machafu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Sheria kutumika kubana wafanyabiashara

UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro umesema kuanzia sasa utaanza kutumia sheria, taratibu na kanuni zilizopitishwa kisheria kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi zao katika maeneo yaliyotengwa ikiwamo masoko na si vinginevyo.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra kubana mabasi ya mikoani

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (Sumatra) imebaini baadhi ya mabasi yaendayo mikoani, yameondoa orodha ya namba za simu zilizobandikwa na hivyo kuagiza kufikia leo, ziwe zimebandikwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaovalia suruali za kubana waonywa

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 35 alilazimika kutolewa ndani ya suruali ndefu aina ya Jeans, baada ya miguu yake kuvimba kupita kiasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani