Serikali kubana zaidi viongozi kimaadili
SERIKALI imeanzisha ramsi mwongozo wa maadili ya viongozi wa umma wenye lengo la kukabiliana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma nchini, mgongano wa kimaslahi, kuongeza uwajibikaji, uadilifu na uwazi katika shughuli za umma.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Nov
Vyatakiwa kuandaa viongozi kimaadili
MWITO umetolewa kwa vyama vya siasa nchini kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa katika elimu ya maadili na uongozi kama ilivyokuwa huko nyuma ili kuisaidia nchi kupata viongozi waadilifu na wawajibikaji.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s72-c/22222.jpg)
WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s1600/22222.jpg)
Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.
Nimesema watoto wetu wanamaliza kwakua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa...
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Viongozi wa Euro kuijadili zaidi Ugiriki
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s72-c/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s640/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Basata kubana wasanii wanaokejeli
NA MWALI IBRAHIM
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limewaonya wasanii wanaotumia lugha chafu na ukiukwaji wa maadili hasa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Katibu mkuu wa baraza hilo, Gofrey Mngereza, alisema baraza hilo litachukua hatua stahiki kwa wimbi la wasanii wanaovunja maadili, wanaokaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi zao za sanaa jambo ambalo linazua malalamiko, masikitiko na hofu kwa mashabiki wa kazi za sanaa.
“Lugha zenye maneno machafu ya...
9 years ago
Habarileo04 Jan
Sheria kutumika kubana wafanyabiashara
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro umesema kuanzia sasa utaanza kutumia sheria, taratibu na kanuni zilizopitishwa kisheria kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi zao katika maeneo yaliyotengwa ikiwamo masoko na si vinginevyo.
10 years ago
Habarileo13 Nov
Sumatra kubana mabasi ya mikoani
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (Sumatra) imebaini baadhi ya mabasi yaendayo mikoani, yameondoa orodha ya namba za simu zilizobandikwa na hivyo kuagiza kufikia leo, ziwe zimebandikwa.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wanaovalia suruali za kubana waonywa