Sheria kutumika kubana wafanyabiashara
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro umesema kuanzia sasa utaanza kutumia sheria, taratibu na kanuni zilizopitishwa kisheria kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi zao katika maeneo yaliyotengwa ikiwamo masoko na si vinginevyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Sheria kubana utitiri kampuni za ulinzi yaja
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Wolper:Sipo Tayari Kutumika na Wafanyabiashara
Mrembo na staa wa Bongo Movies ,Jaqueline Massawe Wolper amefunguka kuwa anajua thamani yake kama msanii hivyo hawezi kutumika na wafanyabiashara kwa kuwatangazia biashara zao bila kuwa na mikataba ya kueleweka au mtu kumfanyia maamuzi pasipokuwa na makubaliano na kufikia mwafaka kuhusu hilo.
“Kujenga jina katika sanaa si kazi ndogo, unapigana na kujitoa na inapotokea maarufu watu wanaanza kuona thamani ya jina ulilolijenga basi ni wakati wa kulilipia na si bure tena,”anasema.
Jack...
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkDZqMe8H*4vj63SHmQeZ246XFW8dlcsQMgP4JhWuBi*iJe15K15pUSaWfQkPLhN7LvI-NvOBYE8IR4LoEgMtl*/11889464_10205952907956735_6399585837112920424_n.jpg)
9 years ago
YkileoSHERIA MTANDAO: YASIYOTAJWA ITAKAPO ANZA KUTUMIKA SEPTEMBA MOSI
Hivi karibuni kupitia mkutano mkuu wa mwaka wa maswala ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CpDNB71nN_o/VSRQsn-JgzI/AAAAAAAHPjA/zAEFx3U5wvU/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MKATABA WA PANGO, NA WA KUNUNULIA ARDHI WAWEZA KUTUMIKA KUPATIA MKOPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CpDNB71nN_o/VSRQsn-JgzI/AAAAAAAHPjA/zAEFx3U5wvU/s1600/1.1774256.jpg)
Sheria ya ardhi ni pana na ina mambo mengi. Kila nikipata nafasi huwa najitahidi kueleza japo machache ili watu waweze kuelewa masuala mbalimbali kuhusu ardhi. Ardhi ni rasimali nyeti mno na hivyo ni tatizo kubwa kuishi bila kujua mambo ya msingi na ya kisheria kuhusu ardhi. Kutokujua ni moja ya sababu inayopelekea umaskini wakati utajiri upo mikononi mwako na upande mwingine husababisha migogoro ya ardhi inayoongezeka...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Ipitie Hotuba ya kuanza rasmi kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapa nchini
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo
Ndugu Wandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,
Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s72-c/1c.jpg)
TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika
![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s640/1c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOafxS7oyMQ/VVRqnKy9ggI/AAAAAAAHXPc/431dQXQdqC8/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p49r55PyQQA/Xtd8EVfGFFI/AAAAAAALsbA/sCveQTwJ5ocJv7OglyRCVfISaCunyM5twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_131226_1.jpg)
WAFANYABIASHARA WA DAWA NA VIFAA TIBA WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA
Hayo yamesemwa jana na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kaskazini Proches Patrick wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alisema kumekuwepo na baadhi ya wafanya biashara wasio...