Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria kutumika kubana wafanyabiashara

UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro umesema kuanzia sasa utaanza kutumia sheria, taratibu na kanuni zilizopitishwa kisheria kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi zao katika maeneo yaliyotengwa ikiwamo masoko na si vinginevyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sheria kubana utitiri kampuni za ulinzi yaja

Jeshi la Polisi limesema sheria mpya ya kusimamia kampuni binafsi za ulinzi itatungwa na Bunge mwakani. Sheria hiyo ikipitishwa imeelezewa kuwa itasaidia kupunguza utitiri wa kampuni hizo zinazofikia 750 hivi sasa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper:Sipo Tayari Kutumika na Wafanyabiashara

Mrembo na staa wa Bongo Movies ,Jaqueline  Massawe Wolper  amefunguka kuwa anajua thamani yake kama msanii hivyo hawezi kutumika na wafanyabiashara kwa kuwatangazia biashara zao bila kuwa na mikataba ya kueleweka au mtu kumfanyia maamuzi pasipokuwa na makubaliano na kufikia mwafaka kuhusu hilo.

“Kujenga jina katika sanaa si kazi ndogo, unapigana na kujitoa na inapotokea maarufu watu wanaanza kuona thamani ya jina ulilolijenga basi ni wakati wa kulilipia na si bure tena,”anasema.

Jack...

 

9 years ago

BBCSwahili

Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani

Leo ni mwanzo wa kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandaoni iliyoleta mzozo Tanzania na sawa waweza kutupwa jela jihadhari

 

9 years ago

Ykileo

SHERIA MTANDAO: YASIYOTAJWA ITAKAPO ANZA KUTUMIKA SEPTEMBA MOSI

Zikiwa zimebaki siku chache kuanza kutumika kwa sheria mtandao Nchini Tanzania, Mengi yame endelea kuzungumzwa ikiwa ni pamoja na kurudia mapungufu yaliyopatikana katika sheria ya awali iliyo wasilishwa bungeni na kusambazwa kwa maneno kua sharia hii mtandao ipo kuziba watanzania midomo huku wengine wakizungumzia itakiuka faragha za watanzania. Sheria hii inakuja kusaidia mambo mengi nani wazi mengi hayo yamekua hayazungumzwi kabisa.



Hivi karibuni kupitia mkutano mkuu wa mwaka wa maswala ya...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MKATABA WA PANGO, NA WA KUNUNULIA ARDHI WAWEZA KUTUMIKA KUPATIA MKOPO

Na  Bashir  Yakub.
Sheria  ya  ardhi  ni pana   na  ina mambo    mengi.  Kila  nikipata  nafasi  huwa  najitahidi  kueleza  japo machache  ili   watu waweze  kuelewa  masuala  mbalimbali   kuhusu  ardhi.  Ardhi  ni  rasimali  nyeti  mno  na hivyo  ni  tatizo  kubwa   kuishi  bila  kujua mambo  ya msingi  na ya kisheria  kuhusu  ardhi. Kutokujua  ni  moja  ya  sababu inayopelekea  umaskini  wakati  utajiri  upo  mikononi  mwako na  upande  mwingine husababisha migogoro  ya ardhi  inayoongezeka...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ipitie Hotuba ya kuanza rasmi kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapa nchini

unnamed (22) Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo

Ndugu Wandishi wa Habari,  Mabibi na Mabwana,

Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa...

 

10 years ago

Michuzi

TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika

Afisa Kodi Mwandamizi Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TRA) Bw. Richard Mwafongo akiwasilishaji kwa Taarifa ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 ambapo alisema kuwa moja kati ya sababu ya kuandaa sheria hiyo ni kuongeza pato la taifa kupitia makusanyo mbalimbali wakati wa kikao kilichokutanisha wadau mbalimbali leo jijini Dar es salaam.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Rished Bade akijibu hoja mbalimbali kuhusu Sheria Mpya ya Ongezeko la Thamani...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WA DAWA NA VIFAA TIBA WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA

Na  Woinde Shizza, michuzi tv ArushaWAFANYABIASHARA wa Dawa na Vifaa Tiba Kanda ya Kaskazini wamehimizwa kufuata Sheria ya Dawa na Vifaa Tiba,  Sura 219 katika kufanya biashara zao kwa lengo la kuwapatia wananchi bidhaa ambazo ni bora, salama na zenye ufanisi unaotakiwa.
Hayo yamesemwa jana na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kaskazini Proches Patrick wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alisema kumekuwepo na baadhi ya wafanya biashara  wasio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani