Wolper:Sipo Tayari Kutumika na Wafanyabiashara
Mrembo na staa wa Bongo Movies ,Jaqueline Massawe Wolper amefunguka kuwa anajua thamani yake kama msanii hivyo hawezi kutumika na wafanyabiashara kwa kuwatangazia biashara zao bila kuwa na mikataba ya kueleweka au mtu kumfanyia maamuzi pasipokuwa na makubaliano na kufikia mwafaka kuhusu hilo.
“Kujenga jina katika sanaa si kazi ndogo, unapigana na kujitoa na inapotokea maarufu watu wanaanza kuona thamani ya jina ulilolijenga basi ni wakati wa kulilipia na si bure tena,”anasema.
Jack...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Jan
Sheria kutumika kubana wafanyabiashara
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro umesema kuanzia sasa utaanza kutumia sheria, taratibu na kanuni zilizopitishwa kisheria kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi zao katika maeneo yaliyotengwa ikiwamo masoko na si vinginevyo.
10 years ago
Bongo Movies21 Jan
Kajala Asema Yupo Tayari Kugharamia Harusi ya Wolper na Manaiki
UBUYU: Mrembo na mwigizaji anayefanya vizuri kunako soko la filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ ameweka wazi kuwa yuko tayari kugharamia sherehe ya harusi ya Manaiki Sanga na Jacqueline Wolper Massawe kama mambo yataenda sawa.
Akizungumzia swala la mwigizaji na rafiki yake Jackline Wolper kuchumbiwa na msanii Manaiki Sanga,Kajala alisema kutokana na ukaribu alionao kwa watu hao basi mambo yote yanayohusiana na sherehe yatakuwa chini yake kwa maana ya gharama zote na kikubwa ni kuwaombea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zNXr_3Q7MCk/VL9XGfZd6WI/AAAAAAAAm4o/_wyVOV8w0gY/s72-c/8.jpg)
Kajala Asema Yupo Tayari Kugharamia Harusi ya Wolper na Manaiki
![](http://4.bp.blogspot.com/-zNXr_3Q7MCk/VL9XGfZd6WI/AAAAAAAAm4o/_wyVOV8w0gY/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fY0YE5sttPI/VL9XcUyHenI/AAAAAAAAm4w/tRsL3Lsjf68/s640/wolper%2Bna%2Bmanaiki%2Bsanga.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7NOmAaSnVTSp4QlpFnNNflEZUx07EzlJp9B*gSUAGSy5wS6GOGZmSGYdJ6a0vilCLnUVcn*zyU5rO5yBYmZcBM8/LULU.jpg)
MNAIBIWA BURE, MIMI SIPO FB-LULU
10 years ago
Bongo Movies02 Jul
Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa
Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...
11 years ago
GPLMENSEN SELECTA: SIPO KWA AJILI YA WASANII WA ARUSHA
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Simu kutumika angani
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Gesi yaanza kutumika Tanzania