MNAIBIWA BURE, MIMI SIPO FB-LULU
![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7NOmAaSnVTSp4QlpFnNNflEZUx07EzlJp9B*gSUAGSy5wS6GOGZmSGYdJ6a0vilCLnUVcn*zyU5rO5yBYmZcBM8/LULU.jpg)
Stori: Mayasa mARIWATA STAA wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hajawahi kufungua akaunti kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook ‘FB’ na kwamba aliyefungua kwa jina lake ana nia ya kuwaibia mashabiki wake. STAA wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akizungumzia akauniti hiyo inayoonekana ni feki yenye sura ya kuwaingiza mjini mashabiki wake, Lulu alisema haitambui na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAEI1jnVf9EAb7zBBqi4vkKTqhgaE42abFQVqRjn3*RiSRH704BFmsWNX12faI0phzha8loP3LCzsjFmejPswox8/LuliDk.jpg?width=650)
LULU: MIMI NA DK. CHENI NI SIRI YETU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiZU8cKEBgkaoezTRxVcCHhMgAoPFDbUVq9pcOQ1bpjOBACEkTDat1972DMJYsaofOcL-b-6gVw3quLRIwJakw/LULU.jpg?width=650)
LULU: MIMI NIMPE PENZI DIAMOND..!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTEUe7oFKX5t-pdIEZF5nuoqEERKKSr1qymdsMxzNYqecbHn9pbYyk-3nydqXV*fgcqm4LA1LFofltpGW4wnfQ3G/1sswde.jpg?width=650)
LULU: MIMI SINA JINI MAUTI JAMANI
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Wolper:Sipo Tayari Kutumika na Wafanyabiashara
Mrembo na staa wa Bongo Movies ,Jaqueline Massawe Wolper amefunguka kuwa anajua thamani yake kama msanii hivyo hawezi kutumika na wafanyabiashara kwa kuwatangazia biashara zao bila kuwa na mikataba ya kueleweka au mtu kumfanyia maamuzi pasipokuwa na makubaliano na kufikia mwafaka kuhusu hilo.
“Kujenga jina katika sanaa si kazi ndogo, unapigana na kujitoa na inapotokea maarufu watu wanaanza kuona thamani ya jina ulilolijenga basi ni wakati wa kulilipia na si bure tena,”anasema.
Jack...
10 years ago
Bongo Movies02 Jul
Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa
Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...
11 years ago
GPLMENSEN SELECTA: SIPO KWA AJILI YA WASANII WA ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2zExn--dW5g/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli