MENSEN SELECTA: SIPO KWA AJILI YA WASANII WA ARUSHA
Prodyuza Mensen Selecta akipozi ndani ya studio za Global TV Online. Na Mohammed Mdose PRODYUZA anayefanya vizuri kwa sasa hapa nchini katika utayarishaji wa muziki wa kizazi kipya, Mensen Selecta kutoka Studio ya D Fatality, amekanusha uvumi unaozidi kutanda kuhusiana na kuwabeba wasanii kutoka Arusha ili ‘kuwaboost’ na kuwaweka juu kwenye ‘game’. Akizungumza kupitia Global TV Online, Selecta...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
CloudsFM29 May
WITNESS NA MPENZI WAKE WAANZISHA SHULE KWA AJILI YA WASANII
Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha Witness pamoja na mpenzi wake ambaye naye ni msanii aitwaye Ochu Sheggy hivi karibuni wameachia audio na video ya ngoma yao mpya iitwayo Think About It, lakini pamoja na kuipromote ngoma hiyo wasanii hao wameanzisha shule kwa ajili ya wasanii ‘under grounds’,inaitwa ochuness all you need to know in this music business.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-22LYPPBMWDY/Xs9XNcg7-1I/AAAAAAAEHWU/YGDp3mZr8mA6y3wo5ZNLA9AmFR3mUvEBQCLcBGAsYHQ/s72-c/CHZ_6333.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa kwa ajili ya kuwasaidia watoto Njiti, Hospitali ya Muriet jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-22LYPPBMWDY/Xs9XNcg7-1I/AAAAAAAEHWU/YGDp3mZr8mA6y3wo5ZNLA9AmFR3mUvEBQCLcBGAsYHQ/s640/CHZ_6333.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-28-1024x683.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Aug
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7NOmAaSnVTSp4QlpFnNNflEZUx07EzlJp9B*gSUAGSy5wS6GOGZmSGYdJ6a0vilCLnUVcn*zyU5rO5yBYmZcBM8/LULU.jpg)
MNAIBIWA BURE, MIMI SIPO FB-LULU
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Wolper:Sipo Tayari Kutumika na Wafanyabiashara
Mrembo na staa wa Bongo Movies ,Jaqueline Massawe Wolper amefunguka kuwa anajua thamani yake kama msanii hivyo hawezi kutumika na wafanyabiashara kwa kuwatangazia biashara zao bila kuwa na mikataba ya kueleweka au mtu kumfanyia maamuzi pasipokuwa na makubaliano na kufikia mwafaka kuhusu hilo.
“Kujenga jina katika sanaa si kazi ndogo, unapigana na kujitoa na inapotokea maarufu watu wanaanza kuona thamani ya jina ulilolijenga basi ni wakati wa kulilipia na si bure tena,”anasema.
Jack...
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s72-c/download.jpg)
wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s1600/download.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Jul
Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa
Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...