Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu kutumika angani

Shirika la usalama angani la umoja wa ulaya (EASA) limesema vifaa vya kielekroniki vinaweza kutumika pindi ndege iwapo angani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simu kutumika taarifa za magonjwa ya mlipuko

Wizara ya Afya, na Ustawi wa Jamii, itaanza kutumia mfumo mpya wa utoaji wa taarifa za magonjwa ya mlipuko kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuyadhibiti mara yanapogundulika kabla ya kusababisha madhara makubwa.

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA

  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo. Uzinduzi wa simu hiyo toleo jipya ukiendelea.

 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana  (kulia), akiwagawia zawadi ya simu hiyo baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali. Wanahabari wakipokea zawadi ya simu hiyo ya kisasa toleo...

 

11 years ago

Michuzi

msaada tutani: dada uliyepoteza simu JKT unatafutwa upewe simu yako

Nilimsaidia usafiri dada mmoja,siku ya ijumaa wiki jana, Dada huyo alikuwa anatokea maeneo ya Tuangoma kuelekea maeneo ya Keko.Nilimshusha JKT Mgulani. Bahati mbaya alisahau simu yake kwenye gari. Simu hiyo iliishiwa chaji muda mchache baada ya kuisahau kwenye gari langu. Mie nikaichukua na kuiweka  kwenye chaji kama masaa mawili hivi.  Nilipoiwasha nilikuta keshafunga kadi yake na sijaweza hata kutafuta namba za watu wanaomjua ili niwasiliane naye. Pia hata jina sikuwahi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar

1

Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.

2 (1)

Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.

IMG_8227

Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...

 

5 years ago

Michuzi

MAFUNDI SIMU KIZIMBANI KWA KUJIHUSISHA NA SIMU ZILIZOFUNGWA

Na Karama Kenyunko, globu ya jamiiFUNDI Simu, Said Msangi (30) na mfanyabiashara Abdul Nassoro( 36), wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo la  kujihusisha na simu zilizofungwa huku wakijua ni kinyume cha sheria.
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao leo Machi 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali Easter Martin amedai Februari 27, mwaka huu...

 

9 years ago

GPL

UKWELI WA VIUMBE WAISHIO ANGANI-13

VIUMBE WA AJABU WASITISHA SAFARI ZA MWEZINI ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea namna ambavyo Aliens na UFO vilivyoanza kuonekana kwenye anga la Israel, Iran na Australia. Ukweli ni kwamba tukio hilo lilishuhudiwa na maelfu ya watu ambao waliona UFO zikisafiri mita 200 kutoka ardhini. SASA ENDELEA… Watafiti wengi duniani wameendelea kulishughulikia suala la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya angani yawaua 60 Allepo

Wanaharakati wanasema kuwa zaidi ya watu 60 wameuawa na jeshi la Syria katika mashambulizi ya angani katika mkoa wa kaskazini wa Aleppo .

 

11 years ago

Michuzi

ATC kung’ara angani

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATC) lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake. Miongoni mwa taratibu zinazosubiriwa ni kwa serikali kulipa madeni makubwa ambayo ATC ilikuwa inadaiwa ili kuweka mizania sawa ya vitabu vya hesabu za fedha.
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani