ATC kung’ara angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jRpNDPXFsrY/U3zF-a_G0xI/AAAAAAAFkLg/QE3UpDLnPmw/s72-c/ATCL+7.jpg)
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATC) lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake. Miongoni mwa taratibu zinazosubiriwa ni kwa serikali kulipa madeni makubwa ambayo ATC ilikuwa inadaiwa ili kuweka mizania sawa ya vitabu vya hesabu za fedha.
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy, alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 May
ATL Kung’ara Angani
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy (kushoto) akiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATC, Kapteni Milton Lazaro, katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam.
NA MWANDISHI WETU
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATC) lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake.
Miongoni mwa taratibu...
11 years ago
GPLATL KUNG'ARA ANGANI
11 years ago
Tanzania Daima22 May
ATCL kung’araa angani
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) lipo mbioni kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake. Miongoni mwa...
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Djokovic aendelea kung'ara
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Endelea kung’ara wakati wa Ramadhan
9 years ago
StarTV04 Nov
JKT Oljoro wazidi kung’ara.
Wafunga buti wa JKT Oljoro kwa mara nyingine wametoka na ushindi baada ya kuwachezesha gwaride wachimba madini wa Geita gold sports mabao 2- 1 mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Jijini Arusha.
Maafande hao wa JKT Oljoro wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani mara baada ya kuinyuka timu ya Geita gold sports magoli 2 kwa 1 mchezo ambao ulianza kwa kasi kwa kila timu kuonekana kuupania mchezo huo uliotimua vumbi katika viunga vya Sheikh Amri Abeid...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Al Jazeera Band yaanza kung’ara
MASHABIKI wa mipasho lenye maskani yake jijini Dar es Salaam, wameonekana kukubali vitu vya kundi la Al Jazeera Band. Hiyo ni kutokana na wapenzi na mashabiki wengi kujitokeza kwa wingi...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Tanzania yatamba kung’ara Feasssa
11 years ago
Habarileo31 Jan
Tanzania yazidi kung’ara kimataifa
TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.