Tanzania yatamba kung’ara Feasssa
Wakati pazia la michuano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) likifunguliwa asubuhi hii, makocha wa timu za Tanzania wamewatoa hofu mashabiki wakisema wamejipanga kubakisha ubingwa nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Jan
Tanzania yazidi kung’ara kimataifa
TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.
9 years ago
MichuziTANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO YA VITO JIJINI BANGKOK, NCHINI THAILAND
10 years ago
VijimamboNYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog09 May
10 years ago
GPLNYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Djokovic aendelea kung'ara
11 years ago
Dewji Blog23 May
ATL Kung’ara Angani
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy (kushoto) akiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ATC, Kapteni Milton Lazaro, katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam.
NA MWANDISHI WETU
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATC) lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake.
Miongoni mwa taratibu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jRpNDPXFsrY/U3zF-a_G0xI/AAAAAAAFkLg/QE3UpDLnPmw/s72-c/ATCL+7.jpg)
ATC kung’ara angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jRpNDPXFsrY/U3zF-a_G0xI/AAAAAAAFkLg/QE3UpDLnPmw/s1600/ATCL+7.jpg)
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy, alisema...
11 years ago
GPLATL KUNG'ARA ANGANI