Vyombo vya habari vyatakiwa kusaidia elimu Katiba mpya
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk Fenella Mukangara amewataka wanahabari kutoa elimu kuhusu kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na uchaguzi mkuu, ili wananchi waweze kufanya uamuzi sahihi wakati utakapowadia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Vyombo vya habari vyatakiwa kukuza utalii
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Vyombo vya habari vimesinzia mchakato wa katiba mpya
NIMEANGALIA na kusoma baadhi ya magazeti ya jana. Mengi yameandika kuhusu uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba. Sijaridhika na kazi iliyofanywa na vyombo vya habari hasa magazeti katika mchakato wa kuelekea Katiba...
11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
RC Arusha aviomba vyombo vya habari kusaidia uchaguzi mkuu kuwa wa amani
Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda.
Na Woinde Shizza, Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda, amevitaka vyombo vya habari nchini kusaidia uchaguzi mkuu mwaka huu umalizike kwa amani na utulivu ili Tanzania iendelee kuwa na sifa ya amani Barani Afrika.
Akizungumza katika tamasha la 10 la vyombo vya habari mkoani hapa, lililowashirikisha wanahabari kutoka mkoa wa Arusha, Manyara na jijini Dar es Salaam, Ntibenda, alisema vyombo vya habari ni wadau wakubwa wa amani na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
VYOMBO VYA HABARI VYA KIJAMII : Vyashauriwa kuwa elimu ya unyanyasaji kijinsia
VYOMBO vya habari vya kijamii (Community Media) vikitumika sawasawa katika kutoa habari vitajenga na kuwa msaada mkubwa wa maendeleo kwa jamii. Katika kuelimisha huko jamii itafahamu madhara yanayokua kwa kasi...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgvFiL8wxMlZ9*-4A1ElSSP7kg-*8aW142p*qVs7LgsV7HWFyFsKwbqNsUgFPlR9qdhqP13HFmZB0LNu7ypPjOS/l1.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA HABARI BILA KUPOTOSHA UMMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VhgFPDQ0kLg/U_8QIXDpTEI/AAAAAAAGKjU/uy8XMXQOL_Q/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PY0XzAI5dpU/U_8QOT8cD-I/AAAAAAAGKjk/-eOx_rLGqTE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.