Vyombo vya habari vimesinzia mchakato wa katiba mpya
NIMEANGALIA na kusoma baadhi ya magazeti ya jana. Mengi yameandika kuhusu uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba. Sijaridhika na kazi iliyofanywa na vyombo vya habari hasa magazeti katika mchakato wa kuelekea Katiba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA
10 years ago
Habarileo18 Jan
Vyombo vya habari vyatakiwa kusaidia elimu Katiba mpya
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk Fenella Mukangara amewataka wanahabari kutoa elimu kuhusu kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na uchaguzi mkuu, ili wananchi waweze kufanya uamuzi sahihi wakati utakapowadia.
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgvFiL8wxMlZ9*-4A1ElSSP7kg-*8aW142p*qVs7LgsV7HWFyFsKwbqNsUgFPlR9qdhqP13HFmZB0LNu7ypPjOS/l1.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA HABARI BILA KUPOTOSHA UMMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VhgFPDQ0kLg/U_8QIXDpTEI/AAAAAAAGKjU/uy8XMXQOL_Q/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PY0XzAI5dpU/U_8QOT8cD-I/AAAAAAAGKjk/-eOx_rLGqTE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amevitaka vyombo vya habari nchini kuacha uchochezi na chuki wakati vinapohabarisha umma kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya.
Kauli hiyo nimetolewa leo na Mhe. Sitta wakati alipokutana na baadhi ya waandishi wa habari katika viwanja vya...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Mukangara: Vyombo vya habari vielimishe Katiba Inayopendekezwa
SERIKALI imevitaka vyombo ya habari nchini, kuwaelimisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa ili waweze kujitokeza kwa wingi kuipigia kura.