Licha ya kuhusishwa kuwa hawapatani, Rafael Benitez kamuomba Cristiano Ronaldo afanye hivi …
Barani Ulaya kwa sasa kwa upande wa vilabu ambavyo makocha wake wanatajwa kuwa katika wakati mgumu na wanahusishwa kufukuzwa ni Jose Mourinho wa klabu ya Chelsea, ambaye timu yake imekuwa ikifanya vibaya msimu huu, kwa upande wa Hispania ni Rafael Benitez ambaye yeye pia timu yake haijafanya vibaya sana ila inatajwa kuwa kuna baadhi ya wachezaji […]
The post Licha ya kuhusishwa kuwa hawapatani, Rafael Benitez kamuomba Cristiano Ronaldo afanye hivi … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Jun
Rafael Benitez atangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDGU1Nwjfp4I2vxb0cq88l799PdQg9VCE6NS3rFSVTXzaz3mAdyVmvVYgh6G9mASDswULpZIYVENQMRjh0IE80t/benetez.jpg)
RAFAEL BENITEZ ASAINI MIAKA 3 KUINOA REAL MADRID
9 years ago
Bongo524 Nov
Majibu ya Zinedine Zidane kuhusu kuchukua nafasi ya Rafael Benitez
![2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259-300x194.jpg)
Baada ya mechi ya El Classico pamekuwa na tetesi kwamba Zinedine Zidane huenda akaichukua nafasi ya Rafael Benitez kwenye club ya Real Madrid.
Baada ya mchezaji wazamani wa Barcelona na Brazil Rivaldo ku-post kwenye mtandao wake wa instagram kwamba ni wakati wa Real Madrid kumpa nafasi Zidane ajaribu ku-manage club hiyo kama Pep Gurdiola alivyopewa nafasi na Barcelona.
Waandishi wa habari wamemtafuta Zidane ambae ni kocha wa kikosi cha vijana cha Real Madrid “Castilla” na yeye alijibu...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s72-c/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
RAFAEL BENITEZ ATANGAZWA RASMI KUA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s400/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
Madrid imethibitisha kuwa Bneitez ametia saini mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi yake...
9 years ago
Bongo505 Jan
Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane
![2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762-300x194.jpg)
Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.
Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.
Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.
Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.
Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.
Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.