Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAFAEL BENITEZ ASAINI MIAKA 3 KUINOA REAL MADRID

Kocha Rafa Benitez baada ya kutua Real Madrid. KLABU ya Real Madrid imemthibitisha Kocha Rafa Benitez kuwa meneja wao mpya baada ya kutimuliwa kwa kocha Carlo Ancelotti. Zinedine Zidane (kushoto), ambaye ni kocha wa timu B ya Madrid akisalimiana na Benitez. Benitez amesaini mkataba wa miaka mitatu kukinoa kikosi hicho akitokea Napoli inayoshiriki Serie A iliyomaliza ikiwa nafasi ya tano.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Rafael Benitez atangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid

Baada ya kumtimua kocha wake Carlo Ancelotti, klabu ya Real Madrid sasa imemthibitisha ramsi Rafael Benitez kama kocha wake mpya, zikiwa ni siku mbili tu tangu kocha huyo aachane na klabu yake ya zamani, Napoli Madrid imethibitisha Benitez ametia saini mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi yake mara tu baada ya mapumziko baada ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.

2FCC0AEA00000578-3384137-image-m-40_1451939045866

Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.

Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAFAEL BENITEZ ATANGAZWA RASMI KUA KOCHA MPYA WA REAL MADRID

Klabu ya Real Madrid imemthibitisha Mhispania Rafael Benitez kama kocha wake mpya zikiwa zimepita siku mbili tangu kocha huyo alipoachana na klabu yake ya zamani ya Napoli.Benitez ambaye ni mzaliwa wa Madrid , ana historia ndefu ndani ya klabu hiyo akiwa amewahi kuichezea akiwa kwenye kikosi cha vijana kabla ya kuwa kocha wa timu za vijana na baadae kikosi cha kwanza akiwa chini ya Vicente Del Bosque.
Madrid imethibitisha kuwa Bneitez ametia saini mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi yake...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …

Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane.  Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]

The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rafael Benítez kufukuzwa Real Madrid.

Benitez ambae amedumu Miezi 7 tu katika Mkataba wake wa Miaka Mitatu , atafukuzwa na Zinedine Zidane kutwaa wadhifa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yawasiliana na Benitez

Mkufunzi wa kilabu ya Napoli Rafael Benitez ameorodheshwa miongoni mwa makocha wataokumrithi Carlo Ancelloti katika kilabu ya Real Madrid.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo

rafa-benitez-579850

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.

Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Benitez ndio kocha mpya wa Real Madrid

Aliyekuwa kocha wa Napoli Rafa Benitez amethibitishwa kuwa Kocha wa Real Madrid katika kandarasi ya miaka mitatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani