Rafael BenÃtez kufukuzwa Real Madrid.
Benitez ambae amedumu Miezi 7 tu katika Mkataba wake wa Miaka Mitatu , atafukuzwa na Zinedine Zidane kutwaa wadhifa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDGU1Nwjfp4I2vxb0cq88l799PdQg9VCE6NS3rFSVTXzaz3mAdyVmvVYgh6G9mASDswULpZIYVENQMRjh0IE80t/benetez.jpg)
RAFAEL BENITEZ ASAINI MIAKA 3 KUINOA REAL MADRID
10 years ago
Bongo503 Jun
Rafael Benitez atangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid
9 years ago
Bongo505 Jan
Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane
![2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762-300x194.jpg)
Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.
Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.
Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.
Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s72-c/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
RAFAEL BENITEZ ATANGAZWA RASMI KUA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s400/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
Madrid imethibitisha kuwa Bneitez ametia saini mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi yake...
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s72-c/degea-1431735082.jpg)
THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID
![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s400/degea-1431735082.jpg)
De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7IhNpLMfA0/VZd270Y6xRI/AAAAAAAACbA/Z8T9ox6NVkA/s400/22B224DE00000578-0-image-a-47_1435960515677.jpg)