Benitez ndio kocha mpya wa Real Madrid
Aliyekuwa kocha wa Napoli Rafa Benitez amethibitishwa kuwa Kocha wa Real Madrid katika kandarasi ya miaka mitatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Jun
Rafael Benitez atangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s72-c/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
RAFAEL BENITEZ ATANGAZWA RASMI KUA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-nu-gDTJw6hU/VW7zLgnYAUI/AAAAAAAAB44/n2d896xFpBc/s400/rafa-benitez-real-madrid-odds.jpg)
Madrid imethibitisha kuwa Bneitez ametia saini mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi yake...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s72-c/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)
MMOJA KATI YA HAWA KUIBUKA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s640/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 May
Real Madrid yawasiliana na Benitez
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo
Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.
Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …
Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]
The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Benitez: Ilikuwa heshima kubwa Real Madrid