Shilole Awataka Watu Wamuache Afanye Yake
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole ‘Shishi Bybee’ amewataka watu wamuache afanye kile anachokitaka kwenye maisha yake na sio kumpagia aishi vipi.
Shishi Bybee aliyasema hayo mara baada ya baadhi ya watu kumshambulia kwa maneno baada ya kuweka picha picha akiwa yupo kwenye bwawa la kuogelea.
“Yaani watu mnapenda kunipa raha sana mimi mwenywe nimejikubali na mimi nipo swimming mlitaka nivae dela??? Nioge nalo kwa hiyo tunapangiana na maisha ya nyumban pia lol! Kila mtu na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
Shilole Awashukia Wanaomtukana, Awataka Wampe Pesa!!!
“Hivi mashabiki zangu niwaulize swali!??? Hivi unapom-follow mtu ili uwe unamtukana Tuuùu kila akipost picha yake?? Au unam-follow ili upate kuona anafanya nini?? Katika kazi , kiukweli mimi nakelekwa sana na baadhi ya mashabiki zangu naona kama wakuwa sio wazalendo kabisaaà kila ufanyalo yeye kwake anaona baya tu acheni roho za kwanini! Ukiona mtu kafanya vizuri msifie tu na kama unaona hajakufurahisha mwambie tu kwa uzuri kwani matusi hayajengi! “
Shilole aliendelea;
“Mimi kama msanii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBtevHgQitXTJ2jSfj8RAmTYr6tpHAdJNzHlZyw989dYiFUo*5pl6rUfAUwfluNEGLOyS9IGISUEuraEd*mU6-oY/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE: KUNA WATU WANATAMANI KUNIUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCzAm7eUTP4rYGGgB-upZkXEeKiGwmUAUmGIvQq9EQA0sUHxcFehHh8A1SoD*qVq5d87fN7XjZBvVm4GtCUOYlYr/Shilole.jpg?width=650)
SHILOLE AWAVAA WANAOPONDA PETE YAKE
10 years ago
GPL11 years ago
GPL17 Feb
SHILOLE ALIPOMTEMBELEA MAMA YAKE MLEZI IGUNGA, TABORA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
CORONA:'PAPA AWATAKA WATU KUTOKUBALI KUSHINDWA NA UOGA'
![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s640/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki alizungumza wakati wa sherehe za pasaka Jumamosi, katika kanisa la St Peter's Basilica ambalo lilikuwa na watu wachache.
Waumini wa Kikatoliki bilioni 1.3 kote duniani wana fursa ya kufuatilia ibada ya moja kwa moja mtandaoni.
Marufuku ya watu kutokutoka majumbani bado inaendelezwa katika maeneo mbalimbali nchini Italia ambako...
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Shilole Atoboa Sababu ya Kuuza Nyumba Yake Aliyokua Anajenga Kimara
Msanii Shilole aliwai kuingia kwenye headlines baada ya ku-post kwenye instagram picha ya nyumba yake ambayo alikua bado anaijenga. Caption ya picha hiyo ilikua inasomeka hivi, “Mungu nisaidie nimalize hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu”.
Eneo ambalo alilokua anajenga nyumba hiyo ni Kimara jijini Dar es Salaam lakini Shilole amesema kwamba ameuza nyumba hiyo ambayo ilikua bado haijaisha vizuri.
Akiongea na millardayo.com Shilole ametoa sababu za kuuza nyumba hiyo kama hivi,...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Papa awataka watu 'kutokubali kushindwa na uoga'