Shilole Awashukia Wanaomtukana, Awataka Wampe Pesa!!!
“Hivi mashabiki zangu niwaulize swali!??? Hivi unapom-follow mtu ili uwe unamtukana Tuuùu kila akipost picha yake?? Au unam-follow ili upate kuona anafanya nini?? Katika kazi , kiukweli mimi nakelekwa sana na baadhi ya mashabiki zangu naona kama wakuwa sio wazalendo kabisaaà kila ufanyalo yeye kwake anaona baya tu acheni roho za kwanini! Ukiona mtu kafanya vizuri msifie tu na kama unaona hajakufurahisha mwambie tu kwa uzuri kwani matusi hayajengi! “
Shilole aliendelea;
“Mimi kama msanii...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-z95W9j8sPwc/VMWO2RZ-MNI/AAAAAAADWac/wSQS2VI6exo/s72-c/10499106_887006497980974_1660904623_n.jpg)
SHILOLE AWAPA MAKAMU WANAOMTUKANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-z95W9j8sPwc/VMWO2RZ-MNI/AAAAAAADWac/wSQS2VI6exo/s1600/10499106_887006497980974_1660904623_n.jpg)
10 years ago
Bongo Movies08 Apr
Shilole Awataka Watu Wamuache Afanye Yake
Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole ‘Shishi Bybee’ amewataka watu wamuache afanye kile anachokitaka kwenye maisha yake na sio kumpagia aishi vipi.
Shishi Bybee aliyasema hayo mara baada ya baadhi ya watu kumshambulia kwa maneno baada ya kuweka picha picha akiwa yupo kwenye bwawa la kuogelea.
“Yaani watu mnapenda kunipa raha sana mimi mwenywe nimejikubali na mimi nipo swimming mlitaka nivae dela??? Nioge nalo kwa hiyo tunapangiana na maisha ya nyumban pia lol! Kila mtu na...
10 years ago
Bongo Movies01 Dec
TETESI: Eti Shilole hakwenda ubelgiji kufanya shoo kama alivyodai. Adaiwa kupelekwa kula bata na mzee mmoja mwenye pesa ya kutosha
<span 1.6em;"="">Kweli mjini kuna mambo. Hivi majuzi mwanadada Shilole aliuga umma kuwa anaenda ubeligiji kupiga show ya muziki, lakini wachunguzi wa mambo wametutonya kuwa jambo hili si kweli bali mrembo huyu amepelekwa nchini ubeligiji kula bata tu na mzee mmoja hivi mwenye hela zake za kutosha, na show ilikuwa kama njia ya kuzuga wananchi tu ili mpango wake huo usijulikane kirahisi hasa na mpenzi wake Nuh mziwanda ambaye ameachwa nchini bila kujua nini kinaendelea.
WACHUNGUZI...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa Chadema siyo Tanzania
MOJAWAPO ya mambo ya kutisha zaidi kutoka katika historia ya kisiasa ya nchi yetu ni hii hamasa a
Lula wa Ndali Mwananzela
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bwOVBryZNgIjkIy5S2DhBLbgMDgosaIvN3T0FK58iQo1q78NvE5KLE5RESuVOzdvgoepywQC9W19ACRMM93Iec0/Couple_0.jpg?width=650)
MKE WA MTU SUMU, KWANINI URUHUSU WATU WAMPE MAZIWA?
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
MWAJUMA NIPE: Aunt Ezekiel Atoa Tamko Kali Kuelekea 2015 Kwa wale Wanaomtukana
"Morng wapenz wang wazuri wazuri Msojaliwa matusi mapya kila siku mnarudia mm apa ndio naamka Sasa Natoa tamko rasmi anaejijua tusi lake uwa lipo kila siku plz mwisho mwaka huu kuanzia Mwakani 2015 Naomba mjitahidi Matusi tofauti na yawe Mapya plzzzz
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nb5UQQh3DbU/VP2W7YR4PsI/AAAAAAAHJE0/m0OAq2feAG0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom