Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shilole Awashukia Wanaomtukana, Awataka Wampe Pesa!!!

“Hivi mashabiki zangu niwaulize swali!??? Hivi unapom-follow mtu ili uwe unamtukana Tuuùu kila akipost picha yake?? Au unam-follow ili upate kuona anafanya nini?? Katika kazi , kiukweli mimi nakelekwa sana na baadhi ya mashabiki zangu naona kama wakuwa sio wazalendo kabisaaà kila ufanyalo yeye kwake anaona baya tu acheni roho za kwanini! Ukiona mtu kafanya vizuri msifie tu na kama unaona hajakufurahisha mwambie tu kwa uzuri kwani matusi hayajengi! “

Shilole aliendelea;

“Mimi kama msanii...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHILOLE AWAPA MAKAMU WANAOMTUKANA

SHILOLE AWAPA MAKAMU WANAOMTUKANAKatika hali isiyokuwa ya kawaidi msanii shilole amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusu mashabiki wanao wa-follow wasanii katika mitandao ya kijamii kutokana na baadhi ya mashabiki kutumia mitandao hiyo kuwachafua wasanii hao kutokana na kuwakejeli hadi kufikia hatua ya kuwatukana hadharani kupitia mitandao hiyo.Kupitia A/C yake ya Instagram shilole ameposti ujumbe huu kuhusu baadhi ya mashabiki wenye tabia ya kuwakashifu wasanii kupitia mitandao hiyo.“Hivi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Awataka Watu Wamuache Afanye Yake

Staa mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole ‘Shishi Bybee’ amewataka watu wamuache afanye kile anachokitaka kwenye maisha yake na sio kumpagia aishi vipi.

Shishi Bybee aliyasema hayo mara baada ya baadhi ya watu kumshambulia kwa maneno baada ya kuweka picha picha akiwa yupo kwenye bwawa la kuogelea.

“Yaani watu mnapenda kunipa raha sana mimi mwenywe nimejikubali na mimi nipo swimming mlitaka nivae dela??? Nioge nalo kwa hiyo tunapangiana na maisha ya nyumban pia lol! Kila mtu na...

 

10 years ago

Bongo Movies

TETESI: Eti Shilole hakwenda ubelgiji kufanya shoo kama alivyodai. Adaiwa kupelekwa kula bata na mzee mmoja mwenye pesa ya kutosha

<span 1.6em;"="">Kweli mjini kuna mambo. Hivi majuzi mwanadada Shilole aliuga umma kuwa anaenda ubeligiji kupiga show ya muziki, lakini wachunguzi wa mambo wametutonya kuwa jambo hili si kweli bali mrembo huyu amepelekwa nchini ubeligiji kula bata tu na mzee mmoja hivi mwenye hela zake za kutosha, na show ilikuwa kama njia ya kuzuga wananchi tu ili mpango wake huo usijulikane kirahisi hasa na mpenzi wake Nuh mziwanda ambaye ameachwa nchini bila kujua nini kinaendelea.

WACHUNGUZI...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa Chadema siyo Tanzania

MOJAWAPO ya mambo ya kutisha zaidi kutoka katika historia ya kisiasa ya nchi yetu ni hii hamasa a

Lula wa Ndali Mwananzela

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

10 years ago

GPL

MKE WA MTU SUMU, KWANINI URUHUSU WATU WAMPE MAZIWA?

BILA shaka mpenzi msomaji wa safu hii uko vizuri na ndiyo tunaanza mwaka mpya, 2015 pamoja. Najua kuna malengo ambayo ulipanga kuyafanya mwaka 2014 hayakutimia, yapange upya na hakika kwa uwezo wa Mungu utafanikiwa. Kama wewe na mpenzi wako mlipanga kufikia hatua ya kutambulishana nyumbani kwa wazazi, kuvalishana pete au hata kuoana na hamjafanikiwa basi mwaka mpya ndiyo huu, bado mnayo nafasi ya kupanga siku au mwezi ambao...

 

10 years ago

Bongo Movies

MWAJUMA NIPE: Aunt Ezekiel Atoa Tamko Kali Kuelekea 2015 Kwa wale Wanaomtukana

"Morng wapenz wang wazuri wazuri Msojaliwa matusi mapya kila siku mnarudia mm apa ndio naamka Sasa Natoa tamko rasmi anaejijua tusi lake uwa lipo kila siku plz mwisho mwaka huu kuanzia Mwakani 2015 Naomba mjitahidi Matusi tofauti na yawe Mapya plzzzz

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani