SHILOLE AWAPA MAKAMU WANAOMTUKANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-z95W9j8sPwc/VMWO2RZ-MNI/AAAAAAADWac/wSQS2VI6exo/s72-c/10499106_887006497980974_1660904623_n.jpg)
SHILOLE AWAPA MAKAMU WANAOMTUKANAKatika hali isiyokuwa ya kawaidi msanii shilole amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusu mashabiki wanao wa-follow wasanii katika mitandao ya kijamii kutokana na baadhi ya mashabiki kutumia mitandao hiyo kuwachafua wasanii hao kutokana na kuwakejeli hadi kufikia hatua ya kuwatukana hadharani kupitia mitandao hiyo.Kupitia A/C yake ya Instagram shilole ameposti ujumbe huu kuhusu baadhi ya mashabiki wenye tabia ya kuwakashifu wasanii kupitia mitandao hiyo.“Hivi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
Shilole Awashukia Wanaomtukana, Awataka Wampe Pesa!!!
“Hivi mashabiki zangu niwaulize swali!??? Hivi unapom-follow mtu ili uwe unamtukana Tuuùu kila akipost picha yake?? Au unam-follow ili upate kuona anafanya nini?? Katika kazi , kiukweli mimi nakelekwa sana na baadhi ya mashabiki zangu naona kama wakuwa sio wazalendo kabisaaà kila ufanyalo yeye kwake anaona baya tu acheni roho za kwanini! Ukiona mtu kafanya vizuri msifie tu na kama unaona hajakufurahisha mwambie tu kwa uzuri kwani matusi hayajengi! “
Shilole aliendelea;
“Mimi kama msanii...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Makamu wa Rais awapa moyo wachezaji wa Taifa Stars kuelekea mchezo wa marudiano
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishangilia sambamba na baadhi ya Viongozi bao la kwanza la Taifa Stars lililofungwa na Elias Maguli, katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Kuwania kufuzu hatua ya makundi Kombe la dunia dhidi ya Algeria uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Stars yalifungwa na Elias Maguli na Mbwana Samatta. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais...
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
MWAJUMA NIPE: Aunt Ezekiel Atoa Tamko Kali Kuelekea 2015 Kwa wale Wanaomtukana
"Morng wapenz wang wazuri wazuri Msojaliwa matusi mapya kila siku mnarudia mm apa ndio naamka Sasa Natoa tamko rasmi anaejijua tusi lake uwa lipo kila siku plz mwisho mwaka huu kuanzia Mwakani 2015 Naomba mjitahidi Matusi tofauti na yawe Mapya plzzzz
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)
11 years ago
Michuzi24 Jun
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) PHILIP MANGULA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA LI YUANCHAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HbPYtcDAiIU/U6lcr3PsKpI/AAAAAAAAPA8/BFmh5py3oqc/s1600/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6yxRi_BiEVQ/U6lczfAZOHI/AAAAAAAAPBE/MLrQVOk7rMQ/s1600/6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LXJ_wa26ZjM/U6lcmT5yIjI/AAAAAAAAPA0/I7Yxpidf5Vw/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE IKULU DAR LEO, WASAINI MIKATABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6HC0MKtC8mQ/U6hMncpZAAI/AAAAAAAFscY/9WxOhZ474cE/s1600/7.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal amkaribisha Makamu wa Rais wa China na Ujumbe wake Ikulu Dar leo, wasaini mikataba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo juni 23, 2014 akiongozana na Ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. Li Yuanchao, yupo nchini kwa ziara ya siku sita. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li...