Mgimwa aomba kura afanye maendeleo
MGOMBEA ubunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa (CCM), amewaomba wakazi wa eneo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo kwa sababu ana uwezo wa kuyaendeleza mazuri yaliyoachwa na aliyekuwa mbunge kabla yake, marehemu Dk....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Feb
Mtoto wa Mgimwa ashinda kura za maoni
UCHAGUZI mdogo katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, umeanza kupamba moto ambapo jana mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa, ameibuka kidedea katika kura za maoni za kumpata mgombea wa ubunge katika jimbo hilo kupitia CCM.
11 years ago
Habarileo08 May
Mbunge Mgimwa ashukuru wapiga kura
MBUNGE mpya wa Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amefanya ziara katika baadhi ya kata za jimbo hilo, kuwashukuru wananchi kwa kumchagua.
11 years ago
MichuziNIKOPESHENI IMANI YENU NAMI NITAWALIPA KWA MAENDELEO-MGIMWA.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Lukuvi aomba kuchaguliwa amalizie miradi ya maendeleo
10 years ago
VijimamboMWAKALEBELA, LUKUVI NA MGIMWA WAPITA KWENYE KURA ZA MAONI
Jimbo la Iringa Mjini.
Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni FredrickMwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Ridhiwani aomba kura huku akinyeshewa
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete ameomba kura kwa wakazi wa kata ya Ubena huku mvua kubwa ikimnyeshea jukwaani.
11 years ago
GPLGODFREY MGIMWA AWAOMBA WANAKALENGA KUMKOPESHA IMANI, YEYE ATAWALIPA MAENDELEO KALENGA