Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ridhiwani aomba kura huku akinyeshewa

Ridhiwani KikweteMGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete ameomba kura kwa wakazi wa kata ya Ubena huku mvua kubwa ikimnyeshea jukwaani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Jakaya Kikwete, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, katika kata ya Ubena jana.
Wananchi wa kijiji cha Visakazi wakinyoosha mikono kuonyesha kumuuunga mkono Ridhiwani wakati wa mkutano…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa aomba kura afanye maendeleo

MGOMBEA ubunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa (CCM), amewaomba wakazi wa eneo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo kwa sababu ana uwezo wa kuyaendeleza mazuri yaliyoachwa na aliyekuwa mbunge kabla yake, marehemu Dk....

 

11 years ago

Habarileo

Ridhiwani aibuka kidedea kura za maoni Chalinze

Ridhiwani KikweteMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM katika Wilaya ya Bagamoyo, Ridhiwani Kikwete, ameibuka kidedea katika kura za maoni kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze.

 

11 years ago

GPL

RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KURA ZA MAONI CHALINZE

Ndg.Ridhiwani Kikwete Mgombea wa ubunge katika Kura za Maoni za CCM jimbo la Chalinze akijipigia Kura leo. ...akipanga mstari (katikati) katika uwakilishi wa Kata anayotoka ya Msoga. Matokeo:
Ridhiwani Kikwete kashinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321,
Ilikuwa hivi:_
1.Ridhiwani…

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.

Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AOMBA KURA ZA PPOZ ALETE MABADILIKO

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwahutubia wakazi wa Manispaa ya Morogoro na vitongoji vyake katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, jana. Picha na Juma Mtnada
Morogoro. Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema anataka kuwa rais wa Watanzania wote na kuwataka wafuasi wa kaulimbiu ya peoples inayoitikiwa power (nguvu ya umma), akimaanisha Chadema, wampe kura ili alete mabadiliko.

Katika kampeni zake, Chadema, kilichoungana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli aomba kura za ‘people’s’ alete mabadiliko

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema anataka kuwa rais wa Watanzania wote na kuwataka wafuasi wa kaulimbiu ya peoples inayoitikiwa power (nguvu ya umma), akimaanisha Chadema, wampe kura ili alete mabadiliko.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgonjwa MOI aomba awezeshwe usafiri akapige kura

Mgonjwa Chacha Makenge aliyelazwa wodi namba 17 Sewahaji iliyopo chini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili ameandika barua kuomba asaidiwe gari la kubeba wagonjwa ili limpeleke kupiga kura na kumrejesha hospitalini hapo aendelee na matibabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani