Mgonjwa MOI aomba awezeshwe usafiri akapige kura
Mgonjwa Chacha Makenge aliyelazwa wodi namba 17 Sewahaji iliyopo chini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili ameandika barua kuomba asaidiwe gari la kubeba wagonjwa ili limpeleke kupiga kura na kumrejesha hospitalini hapo aendelee na matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
MOI waombwa kumpeleka mgonjwa kupiga kura
11 years ago
Habarileo29 Mar
Ridhiwani aomba kura huku akinyeshewa
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete ameomba kura kwa wakazi wa kata ya Ubena huku mvua kubwa ikimnyeshea jukwaani.
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Mgimwa aomba kura afanye maendeleo
MGOMBEA ubunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa (CCM), amewaomba wakazi wa eneo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo kwa sababu ana uwezo wa kuyaendeleza mazuri yaliyoachwa na aliyekuwa mbunge kabla yake, marehemu Dk....
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Magufuli aomba kura za ‘people’s’ alete mabadiliko
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MAGUFULI AOMBA KURA ZA PPOZ ALETE MABADILIKO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/317.jpg)
Morogoro. Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema anataka kuwa rais wa Watanzania wote na kuwataka wafuasi wa kaulimbiu ya peoples inayoitikiwa power (nguvu ya umma), akimaanisha Chadema, wampe kura ili alete mabadiliko.
Katika kampeni zake, Chadema, kilichoungana na...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s72-c/DSC01058.jpg)
DK. SHEIN AOMBA KURA DIMANI MKOA MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s640/DSC01058.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ee1lUcnCd0/ViUSafFWg7I/AAAAAAABnc8/5ohzYmdkcCw/s640/DSC01016.jpg)
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
9 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI WA CCM THADEY MASSAWE AOMBA KURA ILI ACHAGULIWE
Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Ndugumbi, jimbo la Kinondoni, Thadey Massawe,akizungumza sambamba na kuomba kura ili achaguliwe kuwa diwani wa kata hiyo mbele ya wanachama wa chama chake eneo la Texas Magomeni Kagera Dar es salaam jana.