Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOI waombwa kumpeleka mgonjwa kupiga kura

Mkazi wa Jiji la Dar es Salaama, Chacha Makenge (38) ameuomba uongozi wa Taasisi ya Tiba na Mifupa ya Muhimbili (MOI) msaada wa gari la wagonjwa kwa ajili ya kumpeleka kwenda kupiga kura katika Kituo cha Chuo Kikuu Dar es Salaam kesho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mgonjwa MOI aomba awezeshwe usafiri akapige kura

Mgonjwa Chacha Makenge aliyelazwa wodi namba 17 Sewahaji iliyopo chini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili ameandika barua kuomba asaidiwe gari la kubeba wagonjwa ili limpeleke kupiga kura na kumrejesha hospitalini hapo aendelee na matibabu.

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia)...

 

9 years ago

Vijimambo

WASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa TLB, Emmanuel Simon Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.
Na Dotto...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shytown waombwa kumpigia kura kwa wingi NASSIB FONABO BSS 2015

NabooMshiriki wa Shindano la BSS 2015, Nassib Fonabo pichani

Na Andrew Chale-modewjiblog

Wadau  wa Mkoa wa Shinyanga  wameombwa kujitokeza kwa wingi kumpigia kura  Nassib Fonabo ambaye ni mwakilishi pekee anayeiwakilisha Mkoa  katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu wa 2015.

Fonabo ambaye anatumia namba  BSS 103, Ambapo unaweza kumpigia kura kwa wingi kwa kuandika BSS103 kwenda namba 15522.  Kumpigia kura kwa wingi Fonabo zitamwezesha kijana huyo kuwa na nafasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waingereza kupiga kura

Alhamis Mei 7 wananchi hapa Uigereza wanapiga kura kwenye uchaguzi mkuu

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania milioni 24 kupiga kura

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.OFISI ya Taifa ya Takwimu imetoa makadirio ya idadi ya watu wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambao wanakisiwa kuwa watafikia milioni 24.2 nchi nzima.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafanyabiashara wahamasika kupiga kura

Wafanyabishara Tunduma kutofanya kazi tarehe 25 mwezi huu

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi kupiga kura walipojiandikisha

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema wanafunzi wa vyuo vikuu waliokuwa na sifa za kupiga kura na wamejiandikisha katika daftari la wapiga kura wataruhusiwa kupiga kura katika maeneo walipojiandikisha na si kwingineko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani