Mbunge Mgimwa ashukuru wapiga kura
MBUNGE mpya wa Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amefanya ziara katika baadhi ya kata za jimbo hilo, kuwashukuru wananchi kwa kumchagua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi01 Oct
MBUNGE MGIMWA AKIJUMUIKA NA WAPIGA KURA WAKE KWA KUCHEZA BAO
11 years ago
CloudsFM23 Jun
MBUNGE MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWAFIKIA WAPIGA KURA WAKE JIMBONI
MBUNGE wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa amevunja rekodi ya wabunge wa jimbo hilo na majimbo mengine ya mkoa wa Iringa na Tanzania kwa kuachana na matumizi ya magari ya kifahari na kuamua kutumia usafiri wa Baiskeli kuwatembelea wapiga kura wake.
Mbunge huyo alifikia hatua hiyo leo baada ya mmoja kati ya magari yake mawilio yaliyokuwa katika msafara wake kukwama kulazimika kutumia usafiri huo wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kuwatembelea wapiga kura wake na kupokea changamoto mbali...
11 years ago
Michuzi29 Jun
mbunge wa kalenga mhe godfrey mgimwa atembelea wapiga kura jimboni kwa baiskeli
11 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
11 years ago
Habarileo28 Aug
Mbunge Moshi Vijijini awapiga jeki wapiga kura
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Dk Cyril Chami, ametoa jumla ya Shilingi milioni nne kwa kikundi cha Wanawake wa Kanisa la Katoliki la Kindi (WAWATA) kuwawezesha kwenye mradi wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi.
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC