Mwenyekiti wa ‘JKT’ akamatwa kwa tuhuma za uchochezi
>Mwenyekiti wa Wahitimu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba ambaye alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana, ameruhusiwa jana kisha kukamatwa na Polisi akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi na mikusanyiko isiyo halali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4EnF7Lx6sXA/VIqyTR6ITnI/AAAAAAADKEU/nEPZx0QuyCI/s72-c/Kafulila-pix.jpg)
KAFULILA MBARONI KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4EnF7Lx6sXA/VIqyTR6ITnI/AAAAAAADKEU/nEPZx0QuyCI/s1600/Kafulila-pix.jpg)
Kafulila alikamatwa mapema jana asubuhi katika mji mdogo wa Nguruka wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, ambako alikuwa akifanya mikutano ya hadhara, kuelezea sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Escrow na kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mwenyekiti wa Kijiji matatani kwa uchochezi
MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, Mara, Jogoro Amoni amekamatwa na polisi kwa kile kinachodaiwa kuchochea ukabila katika kijiji hicho na kusababisha ugomvi uliojeruhi vijana watatu. Amri...
10 years ago
Mtanzania22 May
Mtoto akamatwa kwa tuhuma za kumuua mwenzake
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kolla Hill, Judith Chomile (15) kwa tuhuma za mauaji.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kumnyonga ndugu yake, Edrin Mafwele (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Benard Bendel iliyopo Manispaa ya Morogoro.
Tukio hilo lilitokea juzi usiku wakati watoto hao walipokuwa nyumbani kwao.
Baba wa marehemu Edrin Mafwere aliyefahamika kwa jina la Barnabas Mafwele, mkazi...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
5 years ago
MichuziMBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKtdb-SwMoU/XsUtyWTIYnI/AAAAAAALq-s/rILfKYLdStURdymjxpfo_Ja6oZbL69KzQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
MWENYEKITI BAVICHA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA NYARAKA, VIDEO ZA NGONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKtdb-SwMoU/XsUtyWTIYnI/AAAAAAALq-s/rILfKYLdStURdymjxpfo_Ja6oZbL69KzQCLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Mchome ambaye ni Mkazi wa Kisaranga wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro na pia ni Katibu wa Chadema wilayani humo, amefikishwa mahakamani hapo leo Mei 20,2020 na kusomewa kesi hiyo namba 77/2020 mbele ya...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti wa CCM Dar kizimbani kwa tuhuma za kusambaza ARV feki
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa