Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBE MADENTI WENGINE ‘WANAJILENGESHA’ KWA MATICHA

KWA takribani wiki tatu sasa tumekuwa tukijadili kuhusu tabia ya baadhi ya walimu kujihusisha kimapenzi na wanafunzi, hasa wa kiume. Nashukuru kwamba nimepata mrejesho mzuri kutoka kwenu. Lakini kuna mwalimu mmoja msomaji mzuri wa safu hii, yeye ni msichana anayefanya kazi mikoani. Alinitumia ujumbe mmoja ambao ulinivutia sana, nikabadilishana naye maneno mawili matatu na kujikuta nimepata kitu ambacho ni lazima tushirikiane pia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADENTI, HAWA MATICHA TUNAWAENDEKEZA WENYEWE

NIANZE kwa kuwapa pole sana maanko kutokana na kifo cha shujaa wa Afrika, mzee Nelson Mandela, aliyefariki akiwa nyumbani kwake, jijini Johannesburg , Afrika Kusini, usiku wa Desemba 5 mwaka huu. Ni msiba mzito, siyo tu kwa watu wa taifa hilo, bali dunia nzima. Kila mtu anaguswa na Mandela, siyo kwa sababu alikaa jela miaka 27 na baadaye kutoka na kuja kuwa Rais, bali kile alichokifanya. Unajua nini anko? Mandela alipofungwa, kwa...

 

11 years ago

GPL

MADENTI HAWAWEZI KAMA MATICHA ‘MIZINGUO’

NIAJE maanko, mko poa?
Mimi nipo vizuri, kwa sababu safari hii Pasaka ilikuwa bomba sana, nilishinda nyumbani na familia yangu.
Ni matumaini yangu pia kwamba hata nyinyi mliimaliza vizuri kabisa sikukuu hii ya kumbukumbu ya kifo cha Yesu Kristo na kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine walikumbwa na masaibu yoyote, nachukua nafasi hii kuwapa pole na kuwatakia afya njema. Tukirejea kwenye mada yetu ya leo, mara nyingi sana...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hii ndiyo mitandao hatari kwa ‘madenti’

 Tangu kuingia kwa miatandao ya kijamii nchini vijana wengi wamepata nafasi ya kuituma au kupokea ujumbe mfupi, picha na video; kwa njia rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 20 iliyopita.

 

11 years ago

GPL

MADENTI WATANO WALAWITIWA KWA MPIGO NA MWENZAO!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. Dunia imekwisha! Jeshi la polisi mkoani hapa linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Watoto waliolawitiwa na mwenzao mwenye miaka 14. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani hapa ambapo dogo huyo...

 

11 years ago

GPL

KUMBE NYERERE ALISHITAKIWA KWA UCHOCHEZI

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Dar es Salaam Juni 9, 1958 katika kesi ya jinai namba 2207/58 mbele ya Hakimu L.A.Davis. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwendesha mashitaka wa kesi hiyo alikuwa J.C.Summerfied na Mwalimu Nyerere alitetewa na mawakili watatu, D.N.Pritt aliyekuwa wakili kiongozi akisaidiwa na Wakili Mahamoud Rattansey na Wakili K.L.Jhavery....

 

10 years ago

GPL

WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA

Na Haruni Sanchawa/Uwazi SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya. Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12,...

 

11 years ago

GPL

Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu

Juma Kaseja.  Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa, kumbe Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempangia mechi za kudaka kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja, ambapo atapokezana na wenzake kwa kila mmoja kupewa mechi tatu huku yeye akiwa wa mwisho katika orodha hiyo.…

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Ampongeza Nisha kwa Jambo Hili, Nifunzo kwa Mastaa Wengine

Kutoka Mtandaoni: Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amempongeza staa mwenzake Salma Jabu ‘Nisha’ kwa jitihada zake za kuzitangaza kazi zake zaidi kupitia ukursa wake kwenye mtandao picha wa Instagram ambapo hadi leo anawatu zaidi ya laki moja na nusu wanao mfuatilia.

Napenda kuongea kutokana moyoni kwamba navutiwa na jinsi dada huyu anavyo jitahidi.hongera.kila nikipitia acc yako mara nyingi unaongelea juu ya kazi zako.hongera. endelea kupambana,”JB aliandika hayo mara baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani