Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADENTI, HAWA MATICHA TUNAWAENDEKEZA WENYEWE

NIANZE kwa kuwapa pole sana maanko kutokana na kifo cha shujaa wa Afrika, mzee Nelson Mandela, aliyefariki akiwa nyumbani kwake, jijini Johannesburg , Afrika Kusini, usiku wa Desemba 5 mwaka huu. Ni msiba mzito, siyo tu kwa watu wa taifa hilo, bali dunia nzima. Kila mtu anaguswa na Mandela, siyo kwa sababu alikaa jela miaka 27 na baadaye kutoka na kuja kuwa Rais, bali kile alichokifanya. Unajua nini anko? Mandela alipofungwa, kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADENTI HAWAWEZI KAMA MATICHA ‘MIZINGUO’

NIAJE maanko, mko poa?
Mimi nipo vizuri, kwa sababu safari hii Pasaka ilikuwa bomba sana, nilishinda nyumbani na familia yangu.
Ni matumaini yangu pia kwamba hata nyinyi mliimaliza vizuri kabisa sikukuu hii ya kumbukumbu ya kifo cha Yesu Kristo na kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine walikumbwa na masaibu yoyote, nachukua nafasi hii kuwapa pole na kuwatakia afya njema. Tukirejea kwenye mada yetu ya leo, mara nyingi sana...

 

11 years ago

GPL

KUMBE MADENTI WENGINE ‘WANAJILENGESHA’ KWA MATICHA

KWA takribani wiki tatu sasa tumekuwa tukijadili kuhusu tabia ya baadhi ya walimu kujihusisha kimapenzi na wanafunzi, hasa wa kiume. Nashukuru kwamba nimepata mrejesho mzuri kutoka kwenu. Lakini kuna mwalimu mmoja msomaji mzuri wa safu hii, yeye ni msichana anayefanya kazi mikoani. Alinitumia ujumbe mmoja ambao ulinivutia sana, nikabadilishana naye maneno mawili matatu na kujikuta nimepata kitu ambacho ni lazima tushirikiane pia...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA UREMBO NIKUOLEWA BASI HAWA WASHINDWE WENYEWE KUPATA WAUME KWANI NI WAREMBO HASWA.


Hamisa MobetoMeninah Abdulkareem
Hamisa MobetoLulu Michael
Pitia  picha za warembo hawa watatu na utakubari kuwa wanaurembo na kama wanatulia na kuolewa basi mume hawezi kuchelewa kurudi nyumbani.

Meninah AbdulkareemAdd captionLulu MichaelHamisa MobetoLulu MichaelMeninah la Diva

 

10 years ago

GPL

MADENTI NA VURUGU ZA MAKONDA

Habari za leo wapendwa. Ninaamini mnaendelea vizuri kabisa na masomo yenu kuelekea mwisho wa mwaka, ambao una mambo mengi kwelikweli. Mimi nasonga kama kawaida, siku zinaenda na sasa namba zinabadilika. Mtakumbuka wiki jana tulijadili hapa jinsi gani baadhi yetu tulibadili tabia kutokana na kupenda kujihusisha na mambo ya disco wakati tukiwa shule, ambako tulikutana na vishawishi vilivyosababisha wengi wetu kujikuta tuki-copy na...

 

10 years ago

GPL

YES, WAKO MADENTI WANAJIUZA!

MAANKO, mnaendeleaje na masomo? Najua leo ni wikiendi nyingine baada ya kumaliza wiki nzima ya masomo. Wale wadogo wa msingi najua kaka na dada zao wameshafanya mitihani na wale wa sekondari ndiyo wako katika maandalizi ya mitihani ya mwisho wa mwaka. Mtakumbuka wiki iliyopita tulijadili juu ya tabia ya baadhi ya wanafunzi, hasa wa kiume ambao huleta vurugu zisizo na maana katika mabasi ya daladala, kama vile lugha chafu kwa...

 

10 years ago

GPL

MADENTI MNAZICHAPA KUGOMBEA MADEMU!

NIANZE kwa kuwasalimu wanafunzi wote, wa zamani na wa sasa, hasa wakati huu ambao ninafahamu wengi wenu mtakuwa katika mapumziko ya mwisho wa wiki. Ingawa kuwa watu kama mimi anko wenu, siku kama leo tunaendelea kuchapa kazi tu, hatuna wikiendi wala sikukuu. Ndiyo maana wakati nyinyi mkiwa mnafurahia sikukuu, bado siku hizo mnasikiliza redio, mnasoma magazeti na kuangalia televisheni. Wiki jana tulikutana hapa na kujadili jinsi...

 

10 years ago

GPL

MADENTI MSINGI WAJIUZA SH.2000

DUSTAN SHEKIDELE, MORO
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Farao! Kumekuwa na madai ya baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi mjini hapa kujiuza kwa waendesha bodaboda kwa gharama ya shilingi elfu mbili tu. Mwanafunzi anayedaiwa kujiuza kwa waendesha Bodaboda. Kufuatia madai hayo, mwandishi wa kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ mjini hapa alifanyia kazi madai hayo na kufanikiwa kumnasa Ally Shabani (34) ambaye...

 

10 years ago

GPL

MADENTI WALIWA MIGUU NA MAMBA

Stori: Igenga Mtatiro, TARIME
WANAFUNZI wawili wa shule za msingi za Nyabisara (Murito) na Kerende Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara wameumwa hadi kuondolewa nyama zao za miguu na mamba walipokwenda kuoga maji ya mto kwa nyakatitofauti. Penina Joseph Mangure akiwa na jeraha mguuni alilojeruhiwa na Mamba. Wanafunzi hao ni Penina Joseph Mangure  (11) wa darasa la nne Shule ya… ...

 

11 years ago

GPL

TAMAA, UTANDAWAZI UNAWAUMIZA MADENTI

HABARI za tokea wiki iliyopita. Ni matumaini yangu kwamba wanafunzi mnaendelea vizuri na masomo na wasomaji wengine wa safu hii Mwenyezi Mungu anawabariki ili mambo yetu yaende sawa sawa. Hili ni kama hitimisho la mada yetu, ile tuliyojadili kuhusu chanzo hasa cha watu wazima kujihusisha kimapenzi na watoto wa shule, hasa wa sekondari na vyuo. Kama ilivyotokea wiki iliyopita, idadi ya wadau waliowasiliana na mimi ilikuwa kubwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani