MADENTI HAWAWEZI KAMA MATICHA ‘MIZINGUO’
![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qh9sqp0YP4HVANDKXJVlrGwHnWxIOZLx8iZYDFyvA74ZC7dGWwOf9CaYxon7BXA-1r8G93UrjaoT2AUmThThOIX/studentdiscussiondebateconference.jpg?width=650)
NIAJE maanko, mko poa? Mimi nipo vizuri, kwa sababu safari hii Pasaka ilikuwa bomba sana, nilishinda nyumbani na familia yangu. Ni matumaini yangu pia kwamba hata nyinyi mliimaliza vizuri kabisa sikukuu hii ya kumbukumbu ya kifo cha Yesu Kristo na kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine walikumbwa na masaibu yoyote, nachukua nafasi hii kuwapa pole na kuwatakia afya njema. Tukirejea kwenye mada yetu ya leo, mara nyingi sana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrmqmobOnlGdomhSpdWfI4F6SufZxwJNyj81ExD04jbV-lGXcI0iOH6WETsg-FrllXs4RrtREFq5DVUk2eWLjaW/BusyStudent.jpg?width=650)
MADENTI, HAWA MATICHA TUNAWAENDEKEZA WENYEWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzriMWRge0N-p0VdztGqzS046Y5VN3DBtnrsbMpT3TCjYrUevHedvMR2*9dS2J-Eyt511vdnHi0kKYtWDi30zS9V/NorwayStudentVisa.jpg?width=640)
KUMBE MADENTI WENGINE ‘WANAJILENGESHA’ KWA MATICHA
9 years ago
Bongo502 Oct
Hizi taarifa nazichukulia tu kama uvumi naamini BASATA hawawezi kunifungia wimbo — Roma
10 years ago
Mtanzania08 May
Lema: CCM hawawezi kuning’oa Arusha
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amesema hajaona mgombea ubunge mwenye uwezo wa kupambana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, amewataka wananchi wa jimbo hilo wajiandikishe kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kukiondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani.
Lema aliyasema hayo juzi mjini hapa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
“Hali ya usalama na kisiasa Arusha ni nzuri, CCM hawapo Arusha. Kwa...
9 years ago
Bongo527 Aug
Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Hawawezi kuwa upande wa wananchi na mafisadi kwa wakati mmoja
KUNA msemo usemao kwamba huwezi kuila keki yako halafu ukabakiwa nayo. Mtu mwenye keki ana uamuzi mmoja kati ya miwili. Uile keki yako nayo itoweke, au usiile ubakiwe nayo. Lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilon1IhTnCjUiNU5nySCZX6PH2*jJN9MmAap80t9GIYGSDRSki5z2FEzRkHApqYN9sq9egNudQAf0hjk46*rmaMh/student_services_classroom.jpg?width=650)
YES, WAKO MADENTI WANAJIUZA!
10 years ago
GPLMADENTI NA VURUGU ZA MAKONDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIo34SjbGVWPom89WbZ6GyezCV*zdPUIAaZ5IxeIJUxFao88FvgBA4WHhriRHlCCmixFPURc*ynrEX7t4gZ7lBR/140117_Engagement_028.jpg?width=650)
TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?