Hizi taarifa nazichukulia tu kama uvumi naamini BASATA hawawezi kunifungia wimbo — Roma
Licha ya BASATA kutoa maelezo ya jinsi ambavyo wanaweza kuufungia wimbo wa msanii kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya habari pasipo kumwandikia msanii barua yoyote (Ingia hapa), Roma bado anaamini kuwa Baraza hilo la sanaa halijaufungia wimbo wake. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Roma amesema kuwa anaamini BASATA wanasapoti kazi zake hivyo taarifa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
BASATA waufungia rasmi wimbo wa Roma — ‘Viva Roma Viva’
9 years ago
Bongo530 Sep
Roma asema hajapewa barua rasmi ya kufungiwa wimbo wake na BASATA
9 years ago
Bongo519 Oct
Roma adai tangazo kuwa wimbo wake umefungiwa inamwathiri kiuchumi, aiandikia barua BASATA
9 years ago
Bongo524 Oct
Roma ajisalimisha BASATA kuwasikilizisha wimbo mpya aliopanga kuachia kesho siku ya uchaguzi Oct.25
11 years ago
Bongo523 Jul
Roma atimiza ahadi ya kufanya wimbo Sharobaro Rec, wimbo unaitwa ‘Maumivu’
9 years ago
Bongo510 Sep
Wanataka kuufungia wimbo wangu mpya ‘Viva Roma viva’ kisa tu nimeongea ukweli — Roma
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wimbo wa ‘VIVA ROMA VIVA’ wa Roma Mkatoliki watishiwa kufungiwa nchini
Roma Mkatoli
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam)- Ndani ya masaa 24 baada ya kuachiwa kwa kibao kipya cha Msanii maarufu wa Bongo fleva nchini, Roma Mkatoliki ‘Roma Tongwe’ wimbo wa Viva Roma Viva’, tayari msanii huyo ametishiwa na kuonywa vikali na mamlaka husika kwa madai kuwa wataufungia.
Modewjiblog iliweza kushuhudia posti ya msanii huyo iliyonukuliwa kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo ile ya twitter na Instagram, facebook na Whatsapp, kwa kile kilichoelezwa na msanii...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qh9sqp0YP4HVANDKXJVlrGwHnWxIOZLx8iZYDFyvA74ZC7dGWwOf9CaYxon7BXA-1r8G93UrjaoT2AUmThThOIX/studentdiscussiondebateconference.jpg?width=650)
MADENTI HAWAWEZI KAMA MATICHA ‘MIZINGUO’
9 years ago
Bongo530 Sep
BASATA ianze kukagua nyimbo kabla hazijatoka — Roma