Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YES, WAKO MADENTI WANAJIUZA!

MAANKO, mnaendeleaje na masomo? Najua leo ni wikiendi nyingine baada ya kumaliza wiki nzima ya masomo. Wale wadogo wa msingi najua kaka na dada zao wameshafanya mitihani na wale wa sekondari ndiyo wako katika maandalizi ya mitihani ya mwisho wa mwaka. Mtakumbuka wiki iliyopita tulijadili juu ya tabia ya baadhi ya wanafunzi, hasa wa kiume ambao huleta vurugu zisizo na maana katika mabasi ya daladala, kama vile lugha chafu kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akiri Kuwa Waigizaji Wengi wa Kike Wanajiuza!!!

Muigizaji  mkongwe wa filamu na moja kati ya waasisi wa Kaone Sanaa Group, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna waigizaji wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi.

Akipiga stori na paparazi wa GPL, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee.

“Tatizo ni kwamba wasanii tumekutana kila mmoja ana tabia zake na ni ngumu kujua undani wa mtu kwa kumtazama mara moja,...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

 

10 years ago

GPL

MADENTI NA VURUGU ZA MAKONDA

Habari za leo wapendwa. Ninaamini mnaendelea vizuri kabisa na masomo yenu kuelekea mwisho wa mwaka, ambao una mambo mengi kwelikweli. Mimi nasonga kama kawaida, siku zinaenda na sasa namba zinabadilika. Mtakumbuka wiki jana tulijadili hapa jinsi gani baadhi yetu tulibadili tabia kutokana na kupenda kujihusisha na mambo ya disco wakati tukiwa shule, ambako tulikutana na vishawishi vilivyosababisha wengi wetu kujikuta tuki-copy na...

 

10 years ago

GPL

MADENTI MNAZICHAPA KUGOMBEA MADEMU!

NIANZE kwa kuwasalimu wanafunzi wote, wa zamani na wa sasa, hasa wakati huu ambao ninafahamu wengi wenu mtakuwa katika mapumziko ya mwisho wa wiki. Ingawa kuwa watu kama mimi anko wenu, siku kama leo tunaendelea kuchapa kazi tu, hatuna wikiendi wala sikukuu. Ndiyo maana wakati nyinyi mkiwa mnafurahia sikukuu, bado siku hizo mnasikiliza redio, mnasoma magazeti na kuangalia televisheni. Wiki jana tulikutana hapa na kujadili jinsi...

 

11 years ago

GPL

MADENTI, PICHA ZA UTUPU ZA NINI?

Niwape hi kwa furaha sana wapendwa wasomaji wa safu hii, ingawa zaidi ningependa ziwafikie wanafunzi popote pale gazeti hili linaposomwa. Hawa jamaa ni wadau wangu wakubwa sana, hasa katika kubadilishana mawazo inapobidi. Juzi nilikuwa naperuziperuzi kwenye mtandao, mara nikakutana na picha za aibu zilizopigwa na msichana ambaye ametambulishwa kama ni mwanafunzi, haikuelezwa kama ni denti wa sekondari au vyuo, lakini kwa uzoefu,...

 

11 years ago

GPL

TAMAA, UTANDAWAZI UNAWAUMIZA MADENTI

HABARI za tokea wiki iliyopita. Ni matumaini yangu kwamba wanafunzi mnaendelea vizuri na masomo na wasomaji wengine wa safu hii Mwenyezi Mungu anawabariki ili mambo yetu yaende sawa sawa. Hili ni kama hitimisho la mada yetu, ile tuliyojadili kuhusu chanzo hasa cha watu wazima kujihusisha kimapenzi na watoto wa shule, hasa wa sekondari na vyuo. Kama ilivyotokea wiki iliyopita, idadi ya wadau waliowasiliana na mimi ilikuwa kubwa na...

 

11 years ago

GPL

TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?

NIMEWAHI kukaa zaidi ya miezi sita bila kufika mjini. Wenye jiji lao wanakuambia Dar es Salaam mjini ni maeneo ya Posta, kule kwenye mitaa ya Ohio, Indira Ghandi, Samora, Sokoine, Zanaki, Azikiwe, Magogoni, Garden, Maktaba na kadhalika. Eti ukisema unaenda au ulikuwa mjini, basi mjanja anajua ndiyo kule, lakini vinginevyo sema nipo au nakwenda Mwenge, Magomeni, Kariakoo, Ilala, Temeke, Ubungo, Kigogo, Kigamboni, Kinondoni, Kawe,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani