Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAM D MOTO WA KUOTEA MBALI UWANJA WA BURUDANI DAR LIVE USIKU HUU

Staa wa Wimbo wa Nimempata anayesumbua vichwa vya mastaa wa muziki wengi wa kike, Pamela Daffa ‘Pam D’ akingusha bonge la shoo Idd Mosi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar usiku huu. Pam D akiwarusha mashabiki wake.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band ni moto wa kuotea mbali, wazidi kuwapa raha mashabiki wao kwa burudani nzuri

 Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba.

Kama kawaida yetu inapofika mwishoni mwa juma yaani Ijumaa huwa inakuwa ni siku ya furaha na kubadilishana mawazo, kupunguza stress za kazini…..paleee Thai Village Masaki.Kwenye Jukwaa Bendi yako matata na inayotikisa Tanzania na Jiji la Dar Skylight Band wanakuwa wanakupa burudani ya nguvu na iliyoenda shule.Karibu leo kuanzia saa 3 kamili...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND NI MOTO WA KUOTEA MBALI, WAZIDI KUWAPA RAHA MASHABIKI WAO KWA BURUDANI NZURI‏

Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba. Aneth Kushaba AK 47…

 

11 years ago

GPL

WEUSI WAKITOA BURUDANI DAR LIVE USIKU HUU

Mwana Hip hop Joh Makini akifanya yake stejini usiku huu ndani ya Dar Live. Mashabiki wakinyoosha mikono juu baada ya kuridhika na shoo kali iliyodondoshwa na kundi la Weusi. G Walawala akiwapagawisha mashabiki waliofurika…

 

10 years ago

GPL

TWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU

Msafiri Diouf 'Lewandowsky' wa Twanga Pepeta akifanya vitu vyake jukwaani kwenye uzinduzi wa Yamoto Band ndani ya Dar Live usiku huu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Costa ni moto wa kuotea mbali

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa Diego Costa ni mshambuliaji hatari na kwamba ni tisho kwa Arsenal.

 

11 years ago

GPL

5 years ago

BBCSwahili

Erling Braut Haaland: Mshambuliaji kinda wa Dortmund ambaye ni moto wa kuotea mbali

Si Kylian Mbappe, Cristiano Ronaldo ama Lionel Messi walioweza kufikisha rekodi yake wakiwa na umri kama wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani